zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
- Thread starter
- #41
Usishangae Makonda akapewa nafasi ya kugombea Uraisi 2025Magufuli asifanye makosa kama ya mkwere aanze kumwandaa Bashiru au Majaliwa kuchukua nafasi yake ya Urais na Dotto Biteko au Jaffo waandaliwe kuwa waziri mkuu.Hao kina makamba na Nape tuachane nao kabisa wataturudisha tulikotoka yaani chama kilikuwa kama chao