Binafsi mimi ni shabiki wa Yanga. kitendo alichofanya Kakolanya kwa mtu mwenye busara hakiwezi kuvumiliwa. Kwanza akumbuke kuwa Klabu ya Yanga ndo imempandisha chati badala yake analeta mgomo. Ni heri Klabu ibaki na makipa Kindoki na kabwili hata tukifungwa magoli kumi na Simba kuliko kumrudisha Kakolanya. Kwa nini baadhi ya mashabiki wanamuonea huruma?. Klabu imuonyeshe mlango wa kutokea. Kocha Zahera shikilia msimamo wako huo huo.