johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,854
- 141,792
CCM imeliongoza taifa hili kwa zaidi ya miaka 60 kuanzia enzi za Tanu na ASP hadi sasa.
Ni ujinga kusema mtu anatoka upinzani kuja kuunga juhudi CCM kwa sababu CCM imekuwepo miaka nenda rudi na ni ile ile, waliounga juhudi ilikuwa ni wakati wa kudai Uhuru kutoka kwa mkoloni mweupe yaani mwingereza.
Waliounga Juhudi wakati huo ndio hao watoto wao leo wanakula mema ya nchi, sasa kuna nongwa gani?
Nimemkubali sana Dr Slaa aliposema tangu ajiuzulu ukatibu mkuu wa Chadema hajajiunga na chama kingine cha siasa.
Huo ndio msimamo wa kweli
Juhudi xa CCM zilikuwa ni kutuletea Uhuru na walishafanikisha.
Maendeleo hayana vyama!
Ni ujinga kusema mtu anatoka upinzani kuja kuunga juhudi CCM kwa sababu CCM imekuwepo miaka nenda rudi na ni ile ile, waliounga juhudi ilikuwa ni wakati wa kudai Uhuru kutoka kwa mkoloni mweupe yaani mwingereza.
Waliounga Juhudi wakati huo ndio hao watoto wao leo wanakula mema ya nchi, sasa kuna nongwa gani?
Nimemkubali sana Dr Slaa aliposema tangu ajiuzulu ukatibu mkuu wa Chadema hajajiunga na chama kingine cha siasa.
Huo ndio msimamo wa kweli
Juhudi xa CCM zilikuwa ni kutuletea Uhuru na walishafanikisha.
Maendeleo hayana vyama!