Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Hata ningekua mimi ndio kiongozi wa nchi hii aliye malizamuda wake wa kipindi cha kwanza halafu nione wananchi wasivyo na shukrani, kqa kuwshabikia vyama vya upinzani, ningezima kabisa TV na mitandao ya jamii.
1. Nimejenga SGR
2. Nijenga hospitali na vituo vya afya bora
3. Nimejenga uwanja wa ndege nyumbani kwangu Tocha..
4. Nimepiga kampeni pekee yangu kwa miaka mitano
5. Nimenunua ndege ambazo pia zimesaidia kuleta tiba ya corona toka madagasca..
Haya yote eti watanzania wanajifanya hawayaoni..
Kwa halinilivyo jingezima hadi TBC maana huu ni utomvu wa nidhamu na unatakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
Hivyo Watanzania tuelewe na tuzikubali sababu ambazo zinaganya kiongozi achukue maamuzi haya kwa sababu inauma sana.
Ni sawa na demu umemsomesha kisha anakuja pigwa mimba na bodaboda..
Inauma
1. Nimejenga SGR
2. Nijenga hospitali na vituo vya afya bora
3. Nimejenga uwanja wa ndege nyumbani kwangu Tocha..
4. Nimepiga kampeni pekee yangu kwa miaka mitano
5. Nimenunua ndege ambazo pia zimesaidia kuleta tiba ya corona toka madagasca..
Haya yote eti watanzania wanajifanya hawayaoni..
Kwa halinilivyo jingezima hadi TBC maana huu ni utomvu wa nidhamu na unatakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
Hivyo Watanzania tuelewe na tuzikubali sababu ambazo zinaganya kiongozi achukue maamuzi haya kwa sababu inauma sana.
Ni sawa na demu umemsomesha kisha anakuja pigwa mimba na bodaboda..
Inauma