Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Samahani pengine hii imeshakuwepo humu ndani ya JF ila mimi nimepokea sms tano sasa kuhusu
kuvaa nguo nyeusi mnamo tarehe 3 wa 10 mwaka huu.
SMS inasema kuwa ni kupinga au kuiambia serikali kuwa tunapinga MGAO WA UMEME, RUSHWA, UFISADI nk.
Nimefurahi sana na nadhani hapo hakuna mabomu ka ya Arusha.
Nawasihi ata wale wasio na nguo nyeusi wavae vifua wazi kwakuwa sisi ni weusi labda wachache tu na waliojichubua.
Tujulishane kwa wingi na tutende kwa vitendo. Tupambane tutashinda.
ARUTACONTINUER
kuvaa nguo nyeusi mnamo tarehe 3 wa 10 mwaka huu.
SMS inasema kuwa ni kupinga au kuiambia serikali kuwa tunapinga MGAO WA UMEME, RUSHWA, UFISADI nk.
Nimefurahi sana na nadhani hapo hakuna mabomu ka ya Arusha.
Nawasihi ata wale wasio na nguo nyeusi wavae vifua wazi kwakuwa sisi ni weusi labda wachache tu na waliojichubua.
Tujulishane kwa wingi na tutende kwa vitendo. Tupambane tutashinda.
ARUTACONTINUER