Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Mctake kuwaharibia maisha wadogo zenu wa form IV..tar 3 oct ndio wanaanza necta hvo hawataruhusiwa kufanya mtihan na nguo nyeuc..na hata kuvaa nguo nyeuc czan km n suluhisho kwa kuwa serikal inafahamu kuwa 2mechoka na matatzo ya umeme...suluhsho n kuumiza kichwa chako cha kutafuta solutn zen peleka kwa ngeleja km wazo n zuri na linatekelezeka 2takuwa 2mekomboka co kuvaa miguo mieuc km wafiwa afu kichwan ZERO hamna haja
Ndio tumefiwa,
Hata mwalim nyerere alikufa tarehe 3 october, walichelea kutangaza makusudi kwa kuweka mambo sawa!