NAUNGA MKONO RASMI KAULI YA NYANI-JULIUS-miafrika ndivyo ilivyo!

Ukikaa uswahilini hauwezi kushangaa sana,kinachonipa tabu ni kwani nini huo mkojo ulikuwa hauendi through the pipes au mnataka kuniambia tayari masinki yameshaziba!!!!
Kuataarabika is a process though we have a long way to go.

Mh huwezi amini! labda wawachimbie vyoo vya mashimo. Ukweli ni kwamba watz wengi wamezoea kutumia vyoo vya mashimo (na wegine hawatumii kabisa).
 
Mh huwezi amini! labda wawachimbie vyoo vya mashimo. Ukweli ni kwamba watz wengi wamezoea kutumia vyoo vya mashimo (na wegine hawatumii kabisa).
mimi sidhani kama hii ni sababu ya watu kutokuwa wastaarabu
 
Ukikaa uswahilini hauwezi kushangaa sana,kinachonipa tabu ni kwani nini huo mkojo ulikuwa hauendi through the pipes au mnataka kuniambia tayari masinki yameshaziba!!!!
Kuataarabika is a process though we have a long way to go.

Kwani umesahau uwanja ule ulijengwa na wachina? pipes na material nyingine zote made in China kwa HUJINTAU.
 
kwa kifupi sana watanzania HATUTUMII AKILI-naungana na YoYo
 
Wakati tunasoma primary zamani kulikuwa na msemo "you can take the african out of the bush, but you cannot take the bush out of the african", tulikuwa tunachukia sana tukisikia hivyo lakini sasa nafikiria sipati jibu, huenda walikuwa sawa:

1. Hakuna telephone booth hata moja tanzania

2. Public toilet zilizopo ndani wananchi wamejaza mawe

3. Hakuna vituo vya mabasi ya mjini, kama vipo havina vibanda vya kusubiria, kwani nondo zimelambwa na mabati yamechukuliwa.

4. Hakuna mapipa ya takataka, kama yapo yamejaa na hayakusanywi na ndio maana takataka zinatupwa mji mzima.

5. Ukienda kwenye huduma mtu kupanga foleni nyuma ya aliyetangulia anaona ushamba wote tunamjalia anayetoa huduma mwishoni anachanganyikiwa hatoi huduma anawaangalia nyinyi.

6.Barabarani usiseme, sheria za barabarani hakuna kabisa, taa nyekundu mtu ndio anapita.

7. Traffic anasimamisha gari mtu anaenda tu bila kujali kuwa kasimamishwa.

8. Kwenye Keep left mtu anakeep right na anaona sawa tu, no U turn mtu na akili zake ana U turn, one way mtu na akili yake anafanya kama two way.

9. Kutanua barabarani kitu cha kawaida tu mtu haoni aibu hata kidogo

10.sehemu nyingi za biashara eg bars hotels, pub etc hazina sinks za kunawia baada ya kujisaidia na nyingine hata toilets hakuna.

11. mgeni anaingia ofisini kwako mobile phone yake inaita anaongea nayo hata dakika 5 bila kuomba msamaha au nini.

12. Mgeni anafika nyumbani kwako anchukua remote ya Tv na kuanza kubadili channel kama yuko kwake..

13. Mwanafunzi wa chuo analipa kwa mwingine ili afanyiwe mtihani

Hizi ni chache tu mwenye zaidi anaweza kuongeza in short in Tanzania we lack sanity and civility, at both individual level and institutional level, Julius is not wrong.

Ni aibu kwa watanzania wote karne hii kufanya vitu vilivyopo kwenye hii picha juu, hatusemi, wakati mtu /watu wanafanya hivyo kulikuwepo wengine wengi wanaona nao wakaona sawa tu kwa nini hawakukatazaka, kwa nini hawakukemea, mbona hawakuripoti polisi????? What kind of specie are we, shame, shame, shame for crying out loud.

Na wewe Kova oh kamera uwanja mzima uhalifu tutaona tu, Kova hata ****** ni uwanjani hizo kamera hazikunasa watu waliofanya hivyo????? Ukiangalia mapato na matumizi ya siku hiyo usalama Tshs milioni 35, halafu ****** hakuna usalama watu wanafanya madudu tu hufanyi kitu, kama huwezi kazi acha kafukuze wezi.
 
Halafu rangi ya hii mikojo inaonyesha hata maji huwa hawanywi hawa,ze banana na wanzuki kwa kwenda mbele.kazi kweli kweli!
 
Najiuliza

1.hao watu walikojoaje hapo, walibebana maana hizo sinks kwa vipimo vya kawaida ni virefu kuliko usawa wa kiuno cha mtu, na Watanzania wengi si warefu kiasi hicho

2. Inakuwaje hizo sinks zimeziba

otherwise walaaniwe wale waliofanya/waliosababisha vitendo hivyo........ni aibu
 
Najiuliza

1.hao watu walikojoaje hapo, walibebana maana hizo sinks kwa vipimo vya kawaida ni virefu kuliko usawa wa kiuno cha mtu, na Watanzania wengi si warefu kiasi hicho

2. Inakuwaje hizo sinks zimeziba

otherwise walaaniwe wale waliofanya/waliosababisha vitendo hivyo........ni aibu

1. UKIBANWA NA MKOJO UNAWEZA UKAAURUSHA HATA UKAPITA DIRISHA LILILO JUU HASA ALIYEKUNYWA POMBE HUWA UNAUMA KAMA UGONJWA.

2. SINKI ZIMEZIBA KWA VILE WATU WAMETUPA SOLID WASTE KAMA Polymer.
 
1. UKIBANWA NA MKOJO UNAWEZA UKAAURUSHA HATA UKAPITA DIRISHA LILILO JUU HASA ALIYEKUNYWA POMBE HUWA UNAUMA KAMA UGONJWA.

2. SINKI ZIMEZIBA KWA VILE WATU WAMETUPA SOLID WASTE KAMA Polymer.

Hiyo pombe labda iwe mnazi. Sisi tunaoangusha valeur waaaaala!
 
Usitaajabu my rafiki, this z hw black pipo we r, na hiyo tusiweke utani wa simba na yanga, hyo hali ni sehem nying zenye mksanyiko wa waafrika,
 
Najiuliza

1.hao watu walikojoaje hapo, walibebana maana hizo sinks kwa vipimo vya kawaida ni virefu kuliko usawa wa kiuno cha mtu, na Watanzania wengi si warefu kiasi hicho

2. Inakuwaje hizo sinks zimeziba

otherwise walaaniwe wale waliofanya/waliosababisha vitendo hivyo........ni aibu

rafiki unanishangaza kidogo kwa uwezo wako mdogo wa kufikiri
 
du kwa kweli hawa wana mtindio wa ubongo,Mtu wa kawaida hawezi fanya ujinga kama huu
 
ni wanaume WAZIMA!na wana akilli zooote 36
hapana lazima kuna upungufu mahali,maana inaeleweka hayo masinki si sehemu ya kukojolea kwa nini wafanye hivyo?KWA kawaida wanaume si huwa mna vijisehemu vyenu vya kukojolea humo vyooni au sytem ya vyoo hapo uwanja wa UHURU ikoje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom