Ukisikiliza vyombo vya habari vya CCM na hotuba ya mh rais aliyoitoa juzi kwa watz,utaamini kuwa madaktari wana dai moja tu kubwa;mishahara mikubwa!Huku ni kutublackmail na kutugombanisha wananchi na madokta!Naamini wapo watu ambao wanawaona madocs kama wasaliti.
Hata hivyo,jana pale Muhimbili nimethibitisha kuwa madoc wana madai mengi na mengi ni kwa manufaa yetu watza.Imagine,mgonjwa wangu aliandikiwa dawa
tatu,na kati ya hizo kulikuwa na diclopar,lkn haikupatikana.Sasa muhimbili inakosa diclopar,huko kwetu unategemea nn?
Hata hivyo,jana pale Muhimbili nimethibitisha kuwa madoc wana madai mengi na mengi ni kwa manufaa yetu watza.Imagine,mgonjwa wangu aliandikiwa dawa
tatu,na kati ya hizo kulikuwa na diclopar,lkn haikupatikana.Sasa muhimbili inakosa diclopar,huko kwetu unategemea nn?