Naunga mkono kinidhamu kuachwa kwa Jonas Mkude Taifa Stars, ila kuachwa kipa Mnata na beki Tshabalala sijamwelewa Kocha Ndayiragije

Meko kasema timu ya taifa tuachane na wachezaji wa simba na yanga.
Kama Siasa tu zimemshida na bado mpaka leo anahangaika Kuujenga Uchumi wa Tanzania, unadhani katika Mpira atakuwa na Jipya Kiufanisi pia?
 
Kuna muda muachieni kocha na benchi la ufindi kazi yao..

Tusijifanye kila kitu tunakijua..

Sawa hao uliowataja wako form (lakini si kila aliye on top form kwa muda flani anastahili kuitwa timu ya taifa).

Kuna msemo kwenye mpira unasema form is temporary but class is permanent....

Na pia kuna ishu ya muunganiko kwenye timu, mara nyingi timu ya taifa hazibadilishi wachezaji mara kwa mara.. makocha hua wanaamini katika wachezaji flani ambao tayari wanafit kwenye mfumo wao (recall germany national team mwaka wanachukua kombe la dunia,, wachezaji kama khedira & klose,, hawakua on top form na pia kwenye club zao walikua hawachezi kabisa, lakini mwisho wa siku waliitwa timu ya taifa na wakiwa na uhakika wa kuaanza first eleven)

All and all ,, wamepewa ajira kocha na wasaidizi wake kwa ajili ya kuisaidia taifa stars, tuwaache...

Wakishindwa kufikia malengo ,, wataketwa wengine
 
Hivi Watanzania tumekosa kabisa mkufunzi wa kutufundishia timu ya Taifa zaidi ya huyu Mrundi. Kanchi kakijinga tunakuja kuongozwa na huyu kocha. Ndio maana sala yangu kila siku ni kuomba hii timu iwe inafungwa kila uchwao.
 
Yan kwa ujumla soka la tz ni vichekesho sana tena sanaaaaa hasa hasa vilabu na timu ya taifa siasa ni nyingi sana kinachoongelewa nje ni tofauti na kilichopo ndani usanii mtupu mm nafkiri bado hatujapata kiongozi sahihi wa kuongoza hili shirika kwa kweli uozo ni mwingi kuliko uzima kama ilivyo tu kwa siasa
 
Kuna muda muachieni kocha na benchi la ufindi kazi yao..

Tusijifanye kila kitu tunakijua..

Sawa hao uliowataja wako form (lakini si kila aliye on top form kwa muda flani anastahili kuitwa timu ya taifa).

Kuna msemo kwenye mpira unasema form is temporary but class is permanent....

Na pia kuna ishu ya muunganiko kwenye timu, mara nyingi timu ya taifa hazibadilishi wachezaji mara kwa mara.. makocha hua wanaamini katika wachezaji flani ambao tayari wanafit kwenye mfumo wao (recall germany national team mwaka wanachukua kombe la dunia,, wachezaji kama khedira & klose,, hawakua on top form na pia kwenye club zao walikua hawachezi kabisa, lakini mwisho wa siku waliitwa timu ya taifa na wakiwa na uhakika wa kuaanza first eleven)

All and all ,, wamepewa ajira kocha na wasaidizi wake kwa ajili ya kuisaidia taifa stars, tuwaache...

Wakishindwa kufikia malengo ,, wataketwa wengine
Ni Fools / Idiots pekee ndiyo watakuelewa kwa hiki ulichotuandikia hapa Ndugu. Kocha Mkuu huyu kwa hili siyo tu amekosea bali pia ametepeta.
 
Ni Fools / Idiots pekee ndiyo watakuelewa kwa hiki ulichotuandikia hapa Ndugu. Kocha Mkuu huyu kwa hili siyo tu amekosea bali pia ametepeta.
Kocha hua ahukumiwi kwa kikosi alichokiita au alichokipanga,

Anahukumiwa kwa matokeo...


Najua akishinda mtakuja ku"praise hapa..

(Ile ni professional yake, muacheni afanye kazi yake atahukumiwa kwa standards alizokubaliana na TFF)
 
Back
Top Bottom