Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,219
Peopleeee'sss Powerrrrrrrr
Hii salamu huwa naikubali Sana. Twende kwenye hoja, Mama Samia ameonekana kucheza vyema siasa zake na hakika huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi, hakika huyu ni Joshua.
Mama Samia ataimarisha na kuipeleka mbali zaidi CCM maana Leo amesema wapo wengi wapi njiani kuja CCM.
Tutegemee wengi wakihamia CCM Tena wengi kuliko wale wa kipindi kile Cha Magufuli.
Hivyo kwa kuwa wengi watahamia CCM hakuna Tena haja ya mama kukutana na upinzani, badala yake hoja zote walizonazo madukuduku yote waliyonayo yapitie kwanza kwa Shibuda Kama walivyoelezwa hapo awali.
Maana wakienda direct Kama wanavyotaka Kuna hatihati wakaunga juhudi siku hiyohiyo.
#mama shikilia hapo hapo# kanyaga twende#
Hii salamu huwa naikubali Sana. Twende kwenye hoja, Mama Samia ameonekana kucheza vyema siasa zake na hakika huyu mama atatufikisha nchi ya ahadi, hakika huyu ni Joshua.
Mama Samia ataimarisha na kuipeleka mbali zaidi CCM maana Leo amesema wapo wengi wapi njiani kuja CCM.
Tutegemee wengi wakihamia CCM Tena wengi kuliko wale wa kipindi kile Cha Magufuli.
Hivyo kwa kuwa wengi watahamia CCM hakuna Tena haja ya mama kukutana na upinzani, badala yake hoja zote walizonazo madukuduku yote waliyonayo yapitie kwanza kwa Shibuda Kama walivyoelezwa hapo awali.
Maana wakienda direct Kama wanavyotaka Kuna hatihati wakaunga juhudi siku hiyohiyo.
#mama shikilia hapo hapo# kanyaga twende#