Si umuoone Petro E. Mselewa akupe format hahahahahahahhahahAndika humu, tuprint format.
Gonjwa limekupata shoga!nasemaga mm ht niugur vip dk asinishauri kuacha nyama aisee!sitaweza kbs..shoga pole..ila nacheka balaa mm jaman 🤣🤣🤣zaa haraka haraka ohoo
Wakuu, nina umwa sana wapendwa. Ninasumbuliwa na uric acid. magoti yako hoi.
Nilitaka kuandika wosia,kwa ajili ya mali zangu kidogo nilizo nazo.
Mashoga zangu kama sio mashosti zangu wame nionya kuwa kamwe, katu nisithubutu kufanya hivyo kwa kuwa ni dalili mbaya (uchuro).
Wenye nia njema na mimi naombeni ushauri wenu.
Kuna babu alikuwa anaumwa, sasa ikawa watu wakija kumsalimia ana dai ana UKIMWI, mwishowe wanae wakamuuliza "baba mbona unasema una ukimwi ili hali hauna" akajibu kuwa, "nawatisha ili wasimuoe mama yenu nikifa..."Mke wangu asiolewe huu ndio wosia wangu
Ahsante sana mkuuPole sana kwa kuumwa mkuu,Mungu akufanyie wepesi.
Kweli dada mpendwa? 😳Pole sana jamani dear!
Andika wosia wako mwaya, tena umechelewa sana mimi kila mwezi nabadilishaga wosia wangu!!
Hamna uchuro hapo ni kujiandaa kuwaacha vizuri wale tuwapendao!!
Kweli kabisaa jamani kaka mpendwa!!Kweli dada mpendwa?
We vipi, ushaandika wako?!Pole sana mpendwa.
Hiyo kukuambia unajichuria ndo uchuro wenyewe achana nao!
Nimeshavuka, mie huyu hapa pichani!
View attachment 1274974
Bado....naogopa kujichuria🤪🤣We vipi, ushaandika wako?!
Itabidi na mimi niige hii maana wangu tangu nilivyoandika sijau-updateKweli kabisaa jamani kaka mpendwa!!
RIP in advance, just in case.Wakuu, nina umwa sana wapendwa. Ninasumbuliwa na uric acid. magoti yako hoi.
Nilitaka kuandika wosia,kwa ajili ya mali zangu kidogo nilizo nazo.
Mashoga zangu kama sio mashosti zangu wame nionya kuwa kamwe, katu nisithubutu kufanya hivyo kwa kuwa ni dalili mbaya (uchuro).
Wenye nia njema na mimi naombeni ushauri wenu.
Bado....naogopa kujichuria
Wewe hujaandika banaItabidi na mimi niige hii maana wangu tangu nilivyoandika sijau-update
Andika Haraka sana ,hasa kama una watoto nje ya ndoa,maana wakati wa kurithi watasumbuliwa na warithi halali.
Na kama una taka baadhi ya mali zako zitolewe sadaka ,bora ueleze mapema ,kwani warithi watagawana kila kitu bila ya kukuwekezea hata kwenye charity yoyote ile kwa faia yako huko wendako.
Wahi Kutowa Shahada kabla hujafa. Na uweke wasia kuwa Maiti yakoisije chomwa Moto kama wafanyavyo Huko ulaya na India kwa mapagani.