Kwanini una badilisha kila mwezi?Pole sana jamani dear!
Andika wosia wako mwaya, tena umechelewa sana mimi kila mwezi nabadilishaga wosia wangu!!
Hamna uchuro hapo ni kujiandaa kuwaacha vizuri wale tuwapendao!!
Kwa sababu kuna vitu naongeza, vingine napunguza!Kwanini una badilisha kila mwezi?
Nafikiri watanzania huwa hawajifunzi na mambo yanayoendelea lakini tunapenda umbea na baadae mambo yanaenda.Wakuu, nina umwa sana wapendwa. Ninasumbuliwa na uric acid. magoti yako hoi.
Nilitaka kuandika wosia,kwa ajili ya mali zangu kidogo nilizo nazo.
Mashoga zangu kama sio mashosti zangu wame nionya kuwa kamwe, katu nisithubutu kufanya hivyo kwa kuwa ni dalili mbaya (uchuro).
Wenye nia njema na mimi naombeni ushauri wenu.
Kunywa supu ya bamia na mabamia yatakusaidia kurekebisha matatizo yako .Wakuu, nina umwa sana wapendwa. Ninasumbuliwa na uric acid. magoti yako hoi.
Nilitaka kuandika wosia,kwa ajili ya mali zangu kidogo nilizo nazo.
Mashoga zangu kama sio mashosti zangu wame nionya kuwa kamwe, katu nisithubutu kufanya hivyo kwa kuwa ni dalili mbaya (uchuro).
Wenye nia njema na mimi naombeni ushauri wenu.
Wanawake nao wana watoto nje ya ndoa, tena wako wengi tuAhsante, ila mimi ni mwanamke
Hapa nmekaa nawaza hua unabadilisha kila mwezi kwamba mali zimeongezeka au unabadilisha marina ya warithi 😄Pole sana jamani dear!
Andika wosia wako mwaya, tena umechelewa sana mimi kila mwezi nabadilishaga wosia wangu!!
Hamna uchuro hapo ni kujiandaa kuwaacha vizuri wale tuwapendao!!
Sakayo uko wapi?Kweli vile
Kila mwezi nauongezea
wosia unaelekeze urithi wa Mali za mwendazake utatwaliwa na Nani, urithi unnasimamiwa na sheria ya Mila, sheria ya kiserikali, sheria za Dini ,kwa sheria ya dini hata usipoandika wosia'uislamu"mgawanyo umeanishwa. kwa ile inayosimamiwa na sheria zingine wosia ni lazima uandikwe na mtu mwenye akili timamu, kuwe na ushahidi na kuwe na warithi.Wakuu, nina umwa sana wapendwa. Ninasumbuliwa na uric acid. magoti yako hoi.
Nilitaka kuandika wosia,kwa ajili ya mali zangu kidogo nilizo nazo.
Mashoga zangu kama sio mashosti zangu wame nionya kuwa kamwe, katu nisithubutu kufanya hivyo kwa kuwa ni dalili mbaya (uchuro).
Wenye nia njema na mimi naombeni ushauri wenu.