Wakuu, nina umwa sana wapendwa. Ninasumbuliwa na uric acid. magoti yako hoi.
Nilitaka kuandika wosia,kwa ajili ya mali zangu kidogo nilizo nazo.
Mashoga zangu kama sio mashosti zangu wame nionya kuwa kamwe, katu nisithubutu kufanya hivyo kwa kuwa ni dalili mbaya (uchuro).
Wenye nia njema na mimi naombeni ushauri wenu.
Nilitaka kuandika wosia,kwa ajili ya mali zangu kidogo nilizo nazo.
Mashoga zangu kama sio mashosti zangu wame nionya kuwa kamwe, katu nisithubutu kufanya hivyo kwa kuwa ni dalili mbaya (uchuro).
Wenye nia njema na mimi naombeni ushauri wenu.