Naumia sana kubaguliwa na wazungu kila wakati

Mzee una exposure finyu sana

Lol so hiyo culture ya wanaume wa kiafrika majority kumuongelea wanawake negatively ndio inafanya waafrika wawe wabaguzi kuliko wazungu?

Mbona wazungu na wenyewe wana msemo wao maarufu kwamba "all boys/men are dogs"?

Na wenyewe tuseme kisa kajeruhiwa kwenye mahusiano na mwanamke mmoja na kuchukulia wanaume wote duniani ni mbwa, nao ni ubaguzi?

Come on, that's nonsense
Wewe ndio una uelewa finyu sasa...jamii inapimwa uvumilivu na ustahimilivucwake kwa namna inavyowa treat waliopo kwenye kundi ambalo ni disasvantaged,
Wanawake wanabaguliwa kwenye siasa, elimu, uchumi sababu ni kuwa ni wanawake hawana akili na uwezo, yaani amekuwa judged kutokana na jinsia yake kabla ya hata kumtest, sasa wewe unazungumzia misemo eti men are dogs? Tunazungumzia halisi yanayotendeka
 
Ila Mkuu kunajamaa yangu anaishi Spring Taxes (houston Taxes) ananifanyia mpango nije huko

Hili Je hili jimbo la houston Taxes unalifahamu vizuri.ila nimesoma kwenge google lina African -American kibao sana?


Ebu naomba mawili matatu kuhusu hili jimbo kama unalifahamu vizuri
Kuhusu wahuni wajanja huko
Hakuna sehem wabaguzi kama Texas, louisina ,west Virginia..tena huko Texas wana tabia ya kutatua marinda ya watu weusi
 
Pia kama unaishi huko huna karatasi,wabongo wenye karatasi watakubagua na kukudharau hata umesoma kuliko wao wenye karatasi wanajiona wamepata tickets ya kwenda mbinguni
 
Wewe ndio una uelewa finyu sasa...jamii inapimwa uvumilivu na ustahimilivucwake kwa namna inavyowa treat waliopo kwenye kundi ambalo ni disasvantaged,
Wanawake wanabaguliwa kwenye siasa, elimu, uchumi sababu ni kuwa ni wanawake hawana akili na uwezo, yaani amekuwa judged kutokana na jinsia yake kabla ya hata kumtest, sasa wewe unazungumzia misemo eti men are dogs? Tunazungumzia halisi yanayotendeka
Marekani imerekebisha tu juzi kati kima cha mfanano cha mshahara kati ya mwanamke na mwanaume, awali marekani ilikua ikimlipa mwanamke nusu ya mshahara wa mwanaume kwenye kazi inayofanana

Marekani pia ni "juzi juzi" tu imeruhusu mwanamke kupiga kura kama mwanaume, awali mwanamke alikua hana hiyo haki

Ulishaona Rais wa marekani mwanamke?

Exposure yako bado ndogo bro kuhusu wazungu, bado sana
 
Wewe acha uongo wako. Juzi juzi lini? Taja mwaka hapa tukukamate uongo wako wa kijinga. Kutomwona rais mwanamke marekani kwani anakatazwa kugombea? Usiwe mpumbavu mpaka unaonea fahari upumbavu wako. Kama anagombea hachaguliwi au kama mwanamke hajitokezi huo si ubaguzi ni demokrasia.

Wewe hapa tanzania umewahi ona rais mwanamke?


Marekani imerekebisha tu juzi kati kima cha mfanano cha mshahara kati ya mwanamke na mwanaume, awali marekani ilikua ikimlipa mwanamke nusu ya mshahara wa mwanaume kwenye kazi inayofanana

Marekani pia ni "juzi juzi" tu imeruhusu mwanamke kupiga kura kama mwanaume, awali mwanamke alikua hana hiyo haki

Ulishaona Rais wa marekani mwanamke?

Exposure yako bado ndogo bro kuhusu wazungu, bado sana
 
shida wakija kwenu mnawaabudu!! je wataegemea nini? lazima akuulize which part of the forest are you coming from !! kwao mtu mweusi ni ngedere tu! au sana sana Nyani!!
 
Marekani imerekebisha tu juzi kati kima cha mfanano cha mshahara kati ya mwanamke na mwanaume, awali marekani ilikua ikimlipa mwanamke nusu ya mshahara wa mwanaume kwenye kazi inayofanana

Marekani pia ni "juzi juzi" tu imeruhusu mwanamke kupiga kura kama mwanaume, awali mwanamke alikua hana hiyo haki

Ulishaona Rais wa marekani mwanamke?

Exposure yako bado ndogo bro kuhusu wazungu, bado sana
Mwanamke karuhusiwa lini kupiga kura Marekani? Juzi juzi?
 
Maisha ya Marekani niliyasoma sana kwenye Newsweek na kuyafuatilia sana kwenye movies na TV shows kabla ya kuja huku, kwa hivyo, hilo lilisaidia kutoshangaa sana.

Ila kuna mengine bado nilishangaa tu.

Kwa mfano.

Ukienda restaurant, kinywaji (soft drinks) unalipia mara moja, lakini ukimaliza kunywa unaruhusiwa kurudia kujaza kadiri unavyotaka.

Dukani ukiona bei ya kitu, bei iliyowekwa si hela utakayolipa kununua kitu, bei iliyowekwa ni kabla ya mahesabu ya kodi. Kujua bei halisi mpaka upige mahesabu ya kodi.

Watu kutupa vitu kama samani za ndani kwa sababu wanataka kubadilisha tu.

Vyoo vya public kuwa wazi chini. Bongo tunasema kuna vyoo vya passport size, Marekani vyoo vya public chini viko wazi mtu akipita nje anakuona miguu.

Size za vyakula ni kubwa sana, mtu unapimiwa chakula kama cha kula watu wawili.

The sheer number of brands was at first overwhelming. Mtu umejitokea Bongo ushazoea uchaguzi ni kati ya Blue Band na Tan Bond, na hiyo Tan Bond yenyewe haionekani, au Omo na Foma, halafu unaenda supermarket unakutana na detergent brands 20 tofauti, butter brands 20 tofauti mpaka unashindwa kuchagua.

Ordering food was a big culture shock, mtu anataja mazagazaga kama kumi tofauti yote yaingie kwenye burger, wewe mbongo siku za kwanza huyajui inabidi ufanye homework.

Nyumba nyingi zimejengwa kwa mbao na ku assemble pre fabricated materials, nafikiri kwa sababu ya hali ya hewa. Kutoka sehemu ambayo watu wamejenga nyumba kwa matofali ilikuwa tofauti sana.

Madeni, kila mtu ana credit card na madeni. Kila mtu ana mortgage nayo ni deni.Madeni ni kama lifestyle, ukiwa huna madeni watu wanakuona una tatizo, huna credit nzuri labda.

Watoto wadogo wanauliza maswali kama watu wazima, na wanategemea uwajibu seriously.

Kuweza kupata kazi na kupanda cheo bila kutumia mjomba wala shangazi, kwa juhudi zako tu kazini.

Ujinga wa Wamarekani wengi kuhusu Jiografia. Kuna watu hawajui hata Canada na Mexico ziko wapi. Kuna dada mmoja ana kazi nzuri tu benki kubwa, alikuwa anafikiri Mexico iko kaskazini ya Marekani na Canada ipo kusini. Ukisema unatoka Tnzania, East Africa, wanakuuliza, is that near Nigeria?

Ukubwa wa nchi. Marekani ni nchi kubwa, hili nililijua, lakini ni jambo moja kuangalia kwenye ramani, jambo tofauti kutembea kuzunguka nchi. Ukizoea vinchi vya ulaya, uki drive mara umertoka Belgium, kidogo tu ushaingia France. Marekani unaweza kuendesha siku nzima bado upo state moja tu hujaimaliza.

Watu wa nje kutoka kila nchi wanavyoweza kuja na kufanya kazi bila mgogoro mkubwa sana. Ingawa hili linabadilika siku hizi utawala wa Trump.

Nchi moja, lakini sheria kibao zinatofautiana kwa jimbo. Jimbo hili linaweza kuruhusu kuvuta bangi, lingine haliruhusu. Jimbo hili lina income tax, lingine halina.

Mambo mengi sana.
Ni lipi ambalo linaruhusu bangi mkuu?
 
Wewe acha uongo wako. Juzi juzi lini? Taja mwaka hapa tukukamate uongo wako wa kijinga. Kutomwona rais mwanamke marekani kwani anakatazwa kugombea? Usiwe mpumbavu mpaka unaonea fahari upumbavu wako. Kama anagombea hachaguliwi au kama mwanamke hajitokezi huo si ubaguzi ni demokrasia.

Wewe hapa tanzania umewahi ona rais mwanamke?
Usipaniki mzee hivyo utakufa na kiharusi

So 45 presidents Vs 5 presidents

Katika michakato yote ya kugombea 45 rows zote haijawahi kutokea mwanamke kagombea? Hillary Clinton alishinda then ikawaje?

Katika nchi zote zilizoendelea zimeshapata kiongozi wa juu wa kike ila Marekani tu ndio hawajitokezi?
 
Mwanamke karuhusiwa lini kupiga kura Marekani? Juzi juzi?
When were American women allowed to vote?

The 19th Amendment to the U.S. Constitution granted American women the right to vote, a right known as women’s suffrage, and was ratified on August 18, 1920, ending almost a century of protest. In 1848 the movement for women’s rights launched on a national level with theSeneca Falls Convention organized byElizabeth Cady Stanton and Lucretia Mott. Jun 6 2019
 
Back
Top Bottom