the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
wakuu!!
leo naweka hadharani
Sijawai kuwa na msichana mkali yaan kitu mwakemwake (beyond the expectation)
Nimebaki nikila kwa macho na roho inaniuma maana watu (wanaume )wa kawa humiliki hawa bebies na mbaya hawana hata starlet.
Nawaza kuhamia Arusha nimeambiwa huko kuna watoto wakali na hawana nyodo kama wabongo.Think of mtu unamiliki Aunt Ezekiel ni raha na fahari kiasi gani?
Mimi ntahonga incase inalazimu akijisogeza mrembo mkali na sexy figure
leo naweka hadharani
Sijawai kuwa na msichana mkali yaan kitu mwakemwake (beyond the expectation)
Nimebaki nikila kwa macho na roho inaniuma maana watu (wanaume )wa kawa humiliki hawa bebies na mbaya hawana hata starlet.
Nawaza kuhamia Arusha nimeambiwa huko kuna watoto wakali na hawana nyodo kama wabongo.Think of mtu unamiliki Aunt Ezekiel ni raha na fahari kiasi gani?
Mimi ntahonga incase inalazimu akijisogeza mrembo mkali na sexy figure