thengoshahimself
Member
- Feb 5, 2012
- 63
- 6
toka mwaka huu wamasomo uanze cjaielewa serkal na loans board.wanasema kupata mkopo lazma usain sa inashangaza vyuo km udom na saut vnawanafunz weng lakn kusain lazma na chuo km udsm kutokusaini na pesa kuingia moja kwa moja tatzo nn mbona mnatuchanganya c cc wote wakopaji. alafu mkataba wa mkopo ni kati ya mwnafunzi na mimi sa chuo kinaingiaje afu hv kisheria hli likoje.michango ya maana tu ushabiki wa vyuo cjui hki bora haviitajk hapa.