Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
Habari za jioni Kamarada,
Waswahili tuna msemo wetu "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo". Mimi nina kijana wangu ana about 5yrs, nataka nimtafutie shule ambayo inafundisha michezo na elimu nyingine hizi za darasani za kawaida.
Dhumuni langu ni kumuandaa huyu mtoto aje awe mwanamichezo hasa football maana naona danadana anapiga vizuri.
Kwa nini nataka awe mwana michezo, kwa sababu michezo hasa mpira wa miguu unalipa sana kuliko kuvaa tai na kuwa afisa mahala fulani.
Ushauri wenu ni muhimu sana,
Asanteni.
Waswahili tuna msemo wetu "mtoto umleavyo ndivyo akuavyo". Mimi nina kijana wangu ana about 5yrs, nataka nimtafutie shule ambayo inafundisha michezo na elimu nyingine hizi za darasani za kawaida.
Dhumuni langu ni kumuandaa huyu mtoto aje awe mwanamichezo hasa football maana naona danadana anapiga vizuri.
Kwa nini nataka awe mwana michezo, kwa sababu michezo hasa mpira wa miguu unalipa sana kuliko kuvaa tai na kuwa afisa mahala fulani.
Ushauri wenu ni muhimu sana,
Asanteni.