Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,264
- 8,792
Ni baada ya kuona hazina mashiko...Maybe mods walifuta tuhuma zilikuwepo
Ni baada ya kuona hazina mashiko...Maybe mods walifuta tuhuma zilikuwepo
Hebu acha huyu mtu ajisafishe mwenyewe mkuu!Nikiweka ushahidi itaondoa tuhuma anazo tuhumiwa?
Ni viambata baadhi kwa dollars ndogo ndogo...Hebu acha huyu mtu ajisafishe mwenyewe mkuu!
Una maslahii gani nae? Ujue kwa kufanya hivi unazidi kuleta sintofahamu ikiwemo kuanza kuaminisha raia kuwa utapeli wake ni level ya sindicate
Tuhuma haziwezi kusafishwa na mtu mwingine zaidi yake mwenyewe au BASI UTUAMBIE KUWA WEWE NI YEYE
Utapeli nini mkuu maana watu wa JF wanatuhumiwa utapeliMkuu migogoro yako na watu umemaliza?? Maana una tuhuma nyingi sana yani.
Ni baada ya kuona hazina mashiko...
Hamna kitu apa angetuma ivo yeye we tapeli tu Kama yeye tushawajua maninerrNi viambata baadhi kwa dollars ndogo ndogo...
$9,000s + $300s =
$50
Hii ni mifano kwa huduma yake ya malipo, manunuzi, kuutoa mzigo, maana Kuna gharama za clearing, TBS, tra, hazipo ktk hizo invoices
Kuna gharama za kumlipa yeye...
Na kuna mizigo mingine pia...
Kuna TIN yake mlipa kodi, anuani yake, PPF Tower, Jina lake nimeficha hapo...
Hii ni kwa pesa kubwa naweka ktk a/c yake Mwl.RCT anunue au ashughulikie yeye kwa maana risk zote za kutapeliwa na nk namuachia apambane Nazo na Mimi nabaki kusubiria bidhaa
Hivyo najaribu kuelezea ninacho kiamini...
Siwezi kuamka na kusema fulani mwizi lazime tujue chanzo na ushahidi...
View attachment 1878279
View attachment 1878280
View attachment 1878281
Nakuomba pm broKwahiyo, hawa wanaship kabisa? Yani natulia zangu bongo hapa nakamata Oppo yangu saaafi kabisa?
Vipi kuhusu china, ukiondoa alibaba na aliexpress ni website gani ambayo naweza kupata vifaa vya kielektroniki kwa bei nafuu kwaajili ya biashara?Na kwa vitu vya electronics: Computer/Tablet/Mobile basi ingia hapa vatanbilgisayar (dot) com
- trendyol (dot) com
- hepsiburada (dot) com