believer JF-Expert Member Dec 22, 2012 633 213 Jun 14, 2013 #1 habari wadau,naomba kujulishwa malipo ya package za premium na compaq za dstv kila mwezi.
Tripo9 JF-Expert Member Sep 9, 2009 4,352 3,533 Jun 14, 2013 #2 Premium laki na thalathini au laki na ishirini na tisa au laki na ishirini na nane. Inategemea na dola ikoje
Premium laki na thalathini au laki na ishirini na tisa au laki na ishirini na nane. Inategemea na dola ikoje
B Babu Kijana JF-Expert Member Jan 24, 2013 584 267 Jun 14, 2013 #3 Mie huwa nalipia premium mara nyingi haizidi sh.130,000/=, hiyo compact ni kati ya 80-90 elfu...lipia premium acha ubakhili yakhe!
Mie huwa nalipia premium mara nyingi haizidi sh.130,000/=, hiyo compact ni kati ya 80-90 elfu...lipia premium acha ubakhili yakhe!