Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,193
- 5,123
Habari za leo wajumbe wa Uchaguzi Mkuu,
Mie kijana nipo nasoma chuo kikuu hapa dar es salaam , napenda ulizia eti zile kazi za muda za kusimamia Uchaguzi Mkuu je zinapatikanaje (maana natafuta pa kujishikiza katika likizo hiyo ya mwisho wa mwaka)?
Na je wapi kutakuwa na chances either mijini or vijijini?
Mie kijana nipo nasoma chuo kikuu hapa dar es salaam , napenda ulizia eti zile kazi za muda za kusimamia Uchaguzi Mkuu je zinapatikanaje (maana natafuta pa kujishikiza katika likizo hiyo ya mwisho wa mwaka)?
Na je wapi kutakuwa na chances either mijini or vijijini?