Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,556
- 29,646
kweli umepinda wewe.Jaribu Salvation Army, vijumba vyao ni self conatine na gharama ni nafuu.
kweli umepinda wewe.Jaribu Salvation Army, vijumba vyao ni self conatine na gharama ni nafuu.
thanks man, nimeicheki hiyo kwa we imekaa njema. i pray that kesho ukumbuke kuja na kadi ili niweze kuselect vizuri maana for sure 80,000 ni high.Yes Mkuu, I have a card of Hotel Manager but I left it at home. Will PM kesho nikikumbuka. Otherwise, it is only about 1 KM before you Reach Mkuranga on your Left Hand side. You will see a sign board.
Also, try Kongowe (Ya Mkuranga too) few Km after Mbagala. There is Mwanzo Park Lodges. It is a Superb resort in the midest of trees and gardens with all the services of a high class hotel. The rate is a bit high i.e abou TZS 80,000. They have a website too.
kweli umepinda wewe.
Shauriana na mkeo/mumeo mtarajiwa!!! Ni vema wote mridhie mahali na gharama then uje hapa ullize mahali withini your price range then nina hakika utapata majibu mazuri sana. Kwangu affordable ni Kunduchi Beach Hotel, White Sands,.........Unajua affordable is too ambiguous!!! Affordable kwangu yaweza kwa dola 250 kwa siku wakati mwingine affordable ni kama dola 10 ka siku!!!!! Tunatofautiana katika swala la affordability!!!
Ila naona hapa wakuu mnataja majina ya madanguro maarufu tu maana hamjataja kwa nini mdau aende huko na affordability yake.
Kuna motel moja ipo changanyikeni inaitwa Kilimani ambapo bei yake kwa mwezi asali haivuki buku 35. Na ipo mahala tulivu ina madhari ya mvuto na pia ina huduma bomba.
ndenda kaitembelee ukaikague kama inakufaaeni ila nenda na mwenzi wako maana ukiipenda na kumbe mwenzio haipendi mtalia honemoon kwenye gari
Hi members,
nategemea kufunga ndoa in two weeks time but pa kulilia fungate sijapata. nani anaweza kunisaidia mawazo ya mahali pazuri ambapo mtumishi wa serikali wa kati anaweza kuafford kama mimi?
mkuu, is there anyway ukawa una contacts za hawa watu,au jinsi ya kufanya booking? najaribu kusearch kwa net but sioni website yao. please help or anyone outthere who can help.
thanks.
Mkuu nenda KIBADAMO HOTEL Ubungo. Buku 20.000 na ni self contained na inclusive ya breakfast.