unampelekaa kwenye mabomuuu..lol!!!!!Motel Inn Mbagala karibu na Jeshi.
Motel na hapohapo Inn?Motel Inn Mbagala karibu na Jeshi.
Jamani mshikaji kasema yeye ni muajiriwa ya Serikali ye2 na nimfanyakazi wakati. Mkadirie mshikaji pato lake then mchekie Affordable price.Shauriana na mkeo/mumeo mtarajiwa!!! Ni vema wote mridhie mahali na gharama then uje hapa ullize mahali withini your price range then nina hakika utapata majibu mazuri sana. Kwangu affordable ni Kunduchi Beach Hotel, White Sands,.........Unajua affordable is too ambiguous!!! Affordable kwangu yaweza kwa dola 250 kwa siku wakati mwingine affordable ni kama dola 10 ka siku!!!!! Tunatofautiana katika swala la affordability!!!
Motel na hapohapo Inn?
Mbagala? huwatakii wenzio mema jamani!
Jamani mshikaji kasema yeye ni muajiriwa ya Serikali ye2 na nimfanyakazi wakati. Mkadirie mshikaji pato lake then mchekie Affordable price.
Lengo la kumtaja Mwajiri wake na possition yake niilituweze kuaproxmate Income yake, then 2mchagulie Kiwanja cha Maraha.
unampelekaa kwenye mabomuuu..lol!!!!!
thanks mkulu, i will check on that.Nenda Mkuranga "Viguza Village". It is out of town and a quite Place.
Good Average Room at TZS 35,000 Per Day. Nice Food too and a bit quite and may be could be romantic.
TV, Hot water, Garden, Bembea etc.
nimekupata mkuu.thanks mkulu, i will check on that.
WOS - mtumishi wa serikali kuu na karani hizo safari unazosema nitazitoa wapi?
Superman - asante sana.
mkuu, is there anyway ukawa una contacts za hawa watu,au jinsi ya kufanya booking? najaribu kusearch kwa net but sioni website yao. please help or anyone outthere who can help.Nenda Mkuranga "Viguza Village". It is out of town and a quite Place.
Good Average Room at TZS 35,000 Per Day. Nice Food too and a bit quite and may be could be romantic.
TV, Hot water, Garden, Bembea etc.
aende kigamboni au avuke bahari ipi shekhe????Jaribu kuvuka bahari kwa honeymoon ya haja..
mkuu, is there anyway ukawa una contacts za hawa watu,au jinsi ya kufanya booking? najaribu kusearch kwa net but sioni website yao. please help or anyone outthere who can help.
thanks.
Hi members,
nategemea kufunga ndoa in two weeks time but pa kulilia fungate sijapata. nani anaweza kunisaidia mawazo ya mahali pazuri ambapo mtumishi wa serikali wa kati anaweza kuafford kama mimi?