Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Bila shaka humu mpo mliokuwa viranja primary au secondary. Tunazikumbuka juhudi zenu za kutukatia maeneo ya kugagia na tuliotoroka hamkusita kutuandika majina kisha kuyapeleka kwa teacher wa zamu.
Vipi huko wizara ya ardhi, nyumba na makazi changamoto ni nyingi au raha tupu?
Vipi wale viranja wa taaluma huko wizara ya elimu kukoje?.
Wale viranja wa afya na usafi vipi huko wizara ya afya?. Poleni na kazi.
Vipi wale mliokuwa mnachukua ujiko kwa football, taifa stars hapo pametulia?.
Vipi huko wizara ya ardhi, nyumba na makazi changamoto ni nyingi au raha tupu?
Vipi wale viranja wa taaluma huko wizara ya elimu kukoje?.
Wale viranja wa afya na usafi vipi huko wizara ya afya?. Poleni na kazi.
Vipi wale mliokuwa mnachukua ujiko kwa football, taifa stars hapo pametulia?.