TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
False Flags ni Matukio ya Serikali au kikundi fulani Kujishambulia yenyewe ili wamsingizie adui wao wa nje au wa ndani kuwa yeye ndiye aliyefanya hayo. Kwa nia ya Kumpiga, au kumtengengenezea chuki kwa Wananchi au dunia. Au kutafuta justification ya kutumia nguvu kubwa kisiasa bila kulaumiwa na dunia, kwa upande wa matukio ya ndani.
Mifano ipo mingi sana Kwa upande wa Kimataifa, eg Zambia ulipokaribia Uchaguzi nafikiri ni 1994, Na Kaunda akataka Kugombea, Basi Chiluba akaandaa Igizo la jaribio la kujipindua Mwenyewe Kisha akamkamata Kaunda!
Wakati UKAWA walipotangaza UKUTA, Polisi walikuwa wakiranda randa mitaani wakiwa na RPG utadhani ni Alshabab, Mara ikatokea Mauaji ya kiajabuajabu ya Askari Wanne katika Bank! Wakasingiziwa UKUTA! Muda Kidogo Akauawa Askari huko Vikindu Kiajabu ajabu hivyo hivyo! Akina Mbowe wakasoma Mchezo Wakasitisha Maandamano ya UKUTA.
Haya Mauaji ya Kibiti nayo Nilisikia Mmoja akisema, "Iweje wanauawa ni CCM Tu?" Sasa kiukweli mimi sijui kama hawa ni Wahalifu wa Namna Gani, lakini inawezekana Kabisa ni False Flag ya kuandaa jambo fulani. Kwanini ni Polisi hasa ndio Wanaouwawa Matukio haya? Na mbona mpaka leo Waliowaua Wale Polisi Wanne pale Bank na Yule wa Vikindu hawajakamatwa?
Mifano ipo mingi sana Kwa upande wa Kimataifa, eg Zambia ulipokaribia Uchaguzi nafikiri ni 1994, Na Kaunda akataka Kugombea, Basi Chiluba akaandaa Igizo la jaribio la kujipindua Mwenyewe Kisha akamkamata Kaunda!
Wakati UKAWA walipotangaza UKUTA, Polisi walikuwa wakiranda randa mitaani wakiwa na RPG utadhani ni Alshabab, Mara ikatokea Mauaji ya kiajabuajabu ya Askari Wanne katika Bank! Wakasingiziwa UKUTA! Muda Kidogo Akauawa Askari huko Vikindu Kiajabu ajabu hivyo hivyo! Akina Mbowe wakasoma Mchezo Wakasitisha Maandamano ya UKUTA.
Haya Mauaji ya Kibiti nayo Nilisikia Mmoja akisema, "Iweje wanauawa ni CCM Tu?" Sasa kiukweli mimi sijui kama hawa ni Wahalifu wa Namna Gani, lakini inawezekana Kabisa ni False Flag ya kuandaa jambo fulani. Kwanini ni Polisi hasa ndio Wanaouwawa Matukio haya? Na mbona mpaka leo Waliowaua Wale Polisi Wanne pale Bank na Yule wa Vikindu hawajakamatwa?