Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,879
Najaribu kujiuliza Aliyekuwa MKUU wa WILAYA ya HAI Bw.SABAYA alifanya Matukio ya UHALIFU ndani ya HAI Na Nje ya HAI
WILAYA ya HAI ina OCD na MKOA una RPC Je ni kwanini VIONGOZI hao Hakuna Sehemu yoyote Wanaonekana Kumchukulia Hatua za KUMKAMATA Bw.SABAYA mpaka pale Mh.RAIS SAMIA Alipomsimamisha KAZI na Kuagiza UCHUNGUZI Ufanyike na ndipo ALIPOKAMATWA.
Je, ule UHALIFU ulikuwa na BARAKA za OCD wa HAI na RPC wa Kilimanjaro?
Na Kwanini kwa Kutokumkamata Bw. SABAYA Wakati Akitenda UHALIFU Wasichukuliwe Nao HATUA?
WILAYA ya HAI ina OCD na MKOA una RPC Je ni kwanini VIONGOZI hao Hakuna Sehemu yoyote Wanaonekana Kumchukulia Hatua za KUMKAMATA Bw.SABAYA mpaka pale Mh.RAIS SAMIA Alipomsimamisha KAZI na Kuagiza UCHUNGUZI Ufanyike na ndipo ALIPOKAMATWA.
Je, ule UHALIFU ulikuwa na BARAKA za OCD wa HAI na RPC wa Kilimanjaro?
Na Kwanini kwa Kutokumkamata Bw. SABAYA Wakati Akitenda UHALIFU Wasichukuliwe Nao HATUA?