Nauliza: Nii sahihi kwa polisi kutumia silaha ya kivita - SMG - katika shughuli za kiraia?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
WanaJF; Naomba tulijadili hili.

Hivi ni sawa kwa jeshi letu la polisi kutumia silaha za kivita (military) katika shughuli za kiraia? hapa nina maana ya sub machine gun (SMG), silaha ambayo ilitengenezwa maalum kwa vita.

Hii silaha inatumia magazine yenye risasi 30 na ni vigumu kwa mtumiaji kuweza kupiga risasi moja kwani usipoangalia ukianza kuminya tu trigger, zaidi ya tatu au nne zinatoka.

Mwanajeshi mmoja kaniambia kwamba katika mafunzo yao ya silaha, hupewa mtihani wa kuminya trigger ili silaha itoe risasi chache zaidi -- ni kazi kubwa kweli kweli, aliniambia.

Sasa hawa polisi wetu hutumia sana SMG katika shughuli za kiraia na huenda ndiyo sababu raia wengi wasio na hatia wanakufa. Huenda silaha hii huwapa usongo sana au mdadi polisi anayetumia na hivyo kujikuta anamimina risasi nyingi katika makundi ya watu bila kukusudia.

naona ingefaa polisi wasitumie SMG, na badala yake watumie zile rifle za kawaida kama vile Mark 4 au nyinginezo -- bolt action rifles.

Hizi huwa na clip ya risasi 5 au 10 na inatoka moja moja tu, yaani kila ukipiga lazima u-cock kwa kutoa ganda la risasi na kuingiza ingine kwenye chamber. Hii kazi inachukuwa kama sekunde 5 au sita hivi.

Nawasilisha.
 
halafu SMG unaweza kutoka risasi moja moja. ni setting tu. tuulize kwanza tunaozitumia. hata bastola hutumika vitani sasa unataka polisi watumie makonde?
 
Mkuu usijiridhishe na terminolgies za madhumuni ya silaha.
Hakuna silaha ya kiraia.
Hata mkuki wakati wake ilikuwa silaha ya kivita.
halafu SMG unaweza kutoka risasi moja moja. ni setting tu. tuulize kwanza tunaozitumia. hata bastola hutumika vitani sasa unataka polisi watumie makonde?
Hamjamuelewa mleta mada. Hebu jiulizeni kwanini nchi zingine ukisikia mtu kauliwa ni nadra sana na utasikia ilikuwa rubber bullet fired at close range

Hata kama unaeza kuiset lever kwenye EACH hiyo silaha ni lethal
 
WanaJF; Naomba tulijadili hili.

Hivi ni sawa kwa jeshi letu la polisi kutumia silaha za kivita (military) katika shughuli za kiraia? hapa nina maana ya sub machine gun (SMG), silaha ambayo ilitengenezwa maalum kwa vita.

Hii silaha inatumia magazine yenye risasi 30 na ni vigumu kwa mtumiaji kuweza kupiga risasi moja kwani usipoangalia ukianza kuminya tu trigger, zaidi ya tatu au nne zinatoka.

Mwanajeshi mmoja kaniambia kwamba katika mafunzo yao ya silaha, hupewa mtihani wa kuminya trigger ili silaha itoe risasi chache zaidi -- ni kazi kubwa kweli kweli, aliniambia.

Sasa hawa polisi wetu hutumia sana SMG katika shughuli za kiraia na huenda ndiyo sababu raia wengi wasio na hatia wanakufa. Huenda silaha hii huwapa usongo sana au mdadi polisi anayetumia na hivyo kujikuta anamimina risasi nyingi katika makundi ya watu bila kukusudia.

naona ingefaa polisi wasitumie SMG, na badala yake watumie zile rifle za kawaida kama vile Mark 4 au nyinginezo -- bolt action rifles.

Hizi huwa na clip ya risasi 5 au 10 na inatoka moja moja tu, yaani kila ukipiga lazima u-cock kwa kutoa ganda la risasi na kuingiza ingine kwenye chamber. Hii kazi inachukuwa kama sekunde 5 au sita hivi.

Nawasilisha.


Ni aibu kwamba unajiita Marksman wakati hujui lolote kuhusu silaha. We unataka polisi watembee na manati? Au labda wawe na viroba vya mawe na kombeo (lutago)? Hivi ninyi mnapotaka kufanya ujambazi huwa mnatumia silaha gani vile? Halafu mnataka kuwa-disarm polisi ili mpate ubwerere sio? Tumekusitukia! Eti SMG haitoi risasi moja, how? Go and do your homework. Huyo mwanajeshi wako nadhani hajawahi hata kuigusa hiyo silaha, vinginevyo uache kutunga maneno na kuwalisha wanajeshi wetu!
 
Last edited by a moderator:
kwa nini usiulize majambazi wanatumia nguvu kubwa kwa silaha kama SMG na mabomu kwa raia asiyejua kutumia hata kisu?
Mi ningependa polisi waongezewe zana zaidi hata VIFARU ikibidi.
 
Polisi sehemu nyingine wanatumia assault rifles kabisa we unaongelea SMG? Hivi unajua risasi za SMG ni za pistol tu? Na kuna baadhi ya vitu hazipenyi. SMG sio ya kivita ndugu huyo mjeshi kakudanganya. Fanya research na kama kuna swali uliza
 
Polisi sehemu nyingine wanatumia assault rifles kabisa we unaongelea SMG? Hivi unajua risasi za SMG ni za pistol tu? Na kuna baadhi ya vitu hazipenyi. SMG sio ya kivita ndugu huyo mjeshi kakudanganya. Fanya research na kama kuna swali uliza

Hii tunayoita SMG ndo kalashnikov, AK47 wewe unaona ni sawa kutumiwa dhidi ya innocent unarmed people?
 
Hii tunayoita SMG ndo kalashnikov, AK47 wewe unaona ni sawa kutumiwa dhidi ya innocent unarmed people?


Bunduki yoyote si sahihi kutumika kwa unArmed person hata kama ni Gobore ila inapobidi kuwa na firepower ioakubidi uwe na silaha kubwa kuliko your opponent.
-AK is not SMG ndugu acha utani,
-Polis Tz wanatumia H&K SMGs, AK Wanatumia Jw na askari wa TANAPA
 
-AK is not SMG ndugu acha utani,
-Polis Tz wanatumia H&K SMGs, AK Wanatumia Jw na askari wa TANAPA

Ngoja nikupe darasa
SMG = AK47 norinco
HK = G3
Asante kwa kukubali kwamba SMG inastahili iwe kwa JWTZ
 
Ngoja nikupe darasa
SMG = AK47 norinco
HK = G3
Asante kwa kukubali kwamba SMG inastahili iwe kwa JWTZ


Embu acha ubishi ndugu AK sio SMG na hata hiyo 56 ya china sio SMG. Hizo ni class za assault rifle. Huna darasa la kunipa kwakua we mwenyewe hujui.
 
Wewe ni mwanajeshi au polisi?

Kama ni polisi je umesoma THE USE OF EXCESSIVE FORCE?

Na kama ni mwanajeshi RULES OF ENGAGEMENT?

Kwa hiyo kwa akili yako THE USE OF EXCESSIVE FORCE ni pale polisi wanapokwenda doria na SMG? Hata hizo rules of engagement husijui wewe. Kama unafikiri ROE zinazuia polisi kubeba SMG wakati wote basi ni bora nenda chimbo ukajielimishe zaidi. Hebu jiulize ni kwa nini polisi ni sehemu ya ARMED FORCES. Na sheria zao kuhusu fire arms zinasemaje. Na pale wanapofanya doria wanakuwa katika hatari zipi.

Tatizo Watanzania tumekuwa walalamishi mno mpaka tunapoteza reasoning capability. Hebu jione wewe kama polisi, halafu umekabidhiwa rungu kama la maasai, halafu unaambiwa uingie mtaani kutuliza ghasia, ama kufanya doria. Utakwenda? Tusipende kuwaona wenzetu kuwa ni super human.
 
Embu acha ubishi ndugu AK sio SMG na hata hiyo 56 ya china sio SMG. Hizo ni class za assault rifle. Huna darasa la kunipa kwakua we mwenyewe hujui.

Nani alikufundisha bunduki? Makusi au Nsemwa? Wewe ni kilaza

http://www.gunandgame.com/forums/ak47/32550-ak47-223-norinco-mags.html
 
Kwa hiyo kwa akili yako THE USE OF EXCESSIVE FORCE ni pale polisi wanapokwenda doria na SMG? Hata hizo rules of engagement husijui wewe. Kama unafikiri ROE zinazuia polisi kubeba SMG wakati wote basi ni bora nenda chimbo ukajielimishe zaidi. Hebu jiulize ni kwa nini polisi ni sehemu ya ARMED FORCES. Na sheria zao kuhusu fire arms zinasemaje. Na pale wanapofanya doria wanakuwa katika hatari zipi.

Japokuwa unajaribu kupotosha tunachojadili, maana tunajadili uhalali wa polisi kumpiga risasi raia ambaye hana bunduki

Nchi zingine bunduki hazibebwi na general duty officers. Zinabebwa na vikosi maalum. Beat cop anakuwa na pistol. Benki zinalindwa na kampuni binafsi. Hawabebi ak47 kama nyinyi
 
Nani alikufundisha bunduki? Makusi au Nsemwa? Wewe ni kilaza

http://www.gunandgame.com/forums/ak47/32550-ak47-223-norinco-mags.html


Such an idiot,am telling you from experience I was in Balkans when you were in diapers son. Over and out!
 
Such an idiot,am telling you from experience I was in Balkans when you were in diapers son. Over and out!

What's experience in the face of the facts(links) I've provided above?

You ought to be ashamed of yourself. You're such a waste of space.
 
WanaJF; Naomba
tulijadili hili.

Hivi ni sawa kwa jeshi letu la polisi kutumia silaha za kivita
(military) katika shughuli za kiraia? hapa nina maana ya sub machine gun
(SMG), silaha ambayo ilitengenezwa maalum kwa vita.

Hii silaha inatumia magazine yenye risasi 30 na ni vigumu kwa mtumiaji
kuweza kupiga risasi moja kwani usipoangalia ukianza kuminya tu trigger,
zaidi ya tatu au nne zinatoka.

Mwanajeshi mmoja kaniambia kwamba katika mafunzo yao ya silaha, hupewa
mtihani wa kuminya trigger ili silaha itoe risasi chache zaidi -- ni
kazi kubwa kweli kweli, aliniambia.

Sasa hawa polisi wetu hutumia sana SMG katika shughuli za kiraia na
huenda ndiyo sababu raia wengi wasio na hatia wanakufa. Huenda silaha
hii huwapa usongo sana au mdadi polisi anayetumia na hivyo kujikuta
anamimina risasi nyingi katika makundi ya watu bila kukusudia.

naona ingefaa polisi wasitumie SMG, na badala yake watumie zile rifle za
kawaida kama vile Mark 4 au nyinginezo -- bolt action rifles.

Hizi huwa na clip ya risasi 5 au 10 na inatoka moja moja tu, yaani kila
ukipiga lazima u-cock kwa kutoa ganda la risasi na kuingiza ingine
kwenye chamber. Hii kazi inachukuwa kama sekunde 5 au sita hivi.

Nawasilisha.

"Mark 4?" hivi wewe unaongelea karne gani? majambazi wana LMG na Mabomu,wewe unajadili Mark 4? hivi unafikiri vizuri wewe? hiyo mark 4 imetumika kabla ya vita vya kwanza vya dunia! jipange ulete hoja za msingi sio kuandiandika hovyo!
 
Mr. Gobore SMG and AK47 norinco are two different things.

What I wanted you to know however is that in Tanzanian context AK47 they call it SMG which is wrong

I said from the beginning AK47 is what Tanzanian cops use alongside G3(HK), chinese pistol and revolver. Whenever an innocent unarmed person gets shot make no mistake it is not a pistol but it is AK47 which you claim to be SMG is used

The links I've provided will help you challenge your N.C.Os the next time they want you to call an AK47 as SMG

Thus in Tanzanian context SMG=AK47 which you didn't know not until I explained to you!!!

Type 56 assault rifle - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Back
Top Bottom