Nauliza: Nii sahihi kwa polisi kutumia silaha ya kivita - SMG - katika shughuli za kiraia?

Mr. Gobore SMG and AK47 norinco are two different things.

What I wanted you to know however is that in Tanzanian context AK47 they call it SMG which is wrong

I said from the beginning AK47 is what Tanzanian cops use alongside G3(HK), chinese pistol and revolver. Whenever an innocent unarmed person gets shot make no mistake it is not a pistol but it is AK47 which you claim to be SMG is used

The links I've provided will help you challenge your N.C.Os the next time they want you to call an AK47 as SMG

Thus in Tanzanian context SMG=AK47 which you didn't know not until I explained to you!!!

Type 56 assault rifle - Wikipedia, the free encyclopedia

Jeshi la polisi Tanzania,ni jeshi halali naliko kwa mujibu wa sheria za nchi.Shera iliyoanzisha jeshi ambayo ni Police Force andAuxiliary Service Act, Cap.322 ikiwa ni pamoja na sheria nyingine mfano PoliceForce Service Regulations,1995, Police General Orders (PGO), Katiba ya nchipamoja sheria nilizotaja hapo juu zinalipa uhali jeshi la polisi kuwepo katikanchi yetu.Kwa ufupi ni kwamba Police Act ndiyo inayolipa jeshi la polisiTanzania kutumia silaha likiwa ni miongozi mwa vyombo vya ulinzi na usalama (Armedforces) katika nchi yetu.Neno armed forces limetajwa katika Katiba yanchi,japokuwa halikutajwa kwa uwazi kama polisi,lakini ukweli unabaki pale palekuwa ni jeshi lenye dhamana ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao katikanchi hii.Adiha neno silaha limebainishwa wazi kuwa ni bunduki kama kifungu cha29 cha Cap.322 kinavyosema "police officer shall carryarms.."Hapa si matakwa ya askari polisi kubeba silaha,ni suala la sheriazaidi.Lakini kifungu hicho kinaongeza kusema kuwa: "Any police officer may use arms against anyperson in lawful custody charged or convicted of an offence when such person isescaping or attempting to escape where such police officer has reasonableground to believe that he can not otherwise prevent the escape and has given awarning to such person that he is about to use arms against him and suchwarning is unheeded; .... ;or by force, prevents attempt to prevent the lawfularrest of any other persons, where such police has reasonable ground to believethat he or any other person is in danger of grievous bodily harm and can nototherwise effect such arrest or prevent such rescue. The power conferred on apolice officer by this section shall be in additional to and not in derogationof any other power conferred on such police officer by any other law"


Kwa mantiki hiyo basi,sheria haisemi ni bunduki ya aina gani polisi watumie,isipokuwa sheria inahalalisha polisi kutumia bunduki katika kulinda usalama wa raia na mali zao.Kikubwa zaidi sheria inatilia maanani kwa askari polisi kuwa ni lazima kuwepo na sababu zinazopelekea yeye kuamini ya kwamba ana uhalali wa kuitumia silaha hiyo,kwa maana nyingine hakuna njia mbadala zaidi ya silaha hiyo. Sasa suala la wewe kusema kuwa“hawa polisi wetu hutumia sana SMG katika shughuli za kiraia na huendandiyo sababu raia wengi wasio na hatia wanakufa. Huenda silaha hii huwapausongo sana au mdadi polisi anayetumia na hivyo kujikuta anamimina risasinyingi katika makundi ya watu bila kukusudia”
Sababu yakohiyo haina mashiko kwa kuwa hukufanya uchunguzi wa kutosha kujiridhisha ya kuwapolisi wanatumia bunduki kihalali au la! na ni bunduki ya aina gani inapashwakutumika na polisi.Kuuawa kwa raia kwa siku za usoni ni jambo ambalotumeshuhudia katika maeneo mbalimbali hapa nchini,hili linapaswa kukemewa kwanguvu zote.Ninaamini ya kuwa polisi hupata mafunzo juu ya matumizi ya silaha namadhara yake,hivyo polisi yeyote anapotumia silaha bila kupima ataleta madharagani,anastahili kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria.Ningependa kutumia mameo yafuatayo pale risai ya moto inapotumia,nilazima kujua inatua kwa nani na wapi!Hivyo sheria za matumizi ya silaha nisharti zizingatiwe katika mafunzo ya polisi mfano Basic Cardinal Rule ambayoinasema hivi:i. Treatevery firearm as though loaded; always point your muzzle in safe direction;
ii. Keepyour finger off the trigger guard until you are on target and have decided to fire,
iii. Be sure of your target, beyond it and backstop.Lakini pia kuna Laser rule ambayo inasemahivi:
Treat the muzzle of your firearm as if itis a Laser gun with the beam always on, wherever the laser beam touches, itcuts through. Endaposheria hizi zitazingatiwa tutashuhudia matatizo machache sana ya matumizi yabunduki pale amabpo ilibidi kutumika.Mauaji yasiyokuwa ya lazima yatapungua naaskari watakuwa na weledi wa kazi waliyosomea.Matukio tunayoshuhudia mengiyanahusisha mikutano ya kisiasa.Tatizo lilopo hapa ni mfumo dume wa polisikufuata matakwa ya chama kilichopo madarakani.Polisi wameshindwa kutambuawajibu wao kwamba wanawajibika wa waananhi walipa kodi.Kwa hili polisiwanatakiwa kujitambua na kuacha kutumiwa kama chombo au kinga dhidi ya chamakinachotawala.Wanatakiwa wawajibike kwa mujibu wa sheria bila kujali itikadi yachama.Napendakukumbusha ya kuwa usalama wowote ni gharama na ili uwe salama unapaswa kutumiaulinzi wa kisasa,na si ilimuradi ulinzi.Aidha askari polisi nao ni watu ambaowanapenda kufanyakazi zao kwa amani na mazingira mazuri na salama zaidi. Zipo sheria zinazo lindahaki za binadamu na matumizi ya silaha.Sheria hizo ni za kimataifa,kikanda naza nchi.Mfano kifungu 13 (6) (e) cha katiba ya nchi yetu kinazuia manyanyashokwa raia yeyote.Lakini kifungu hiki si kigezo au kinga kwa mtu kutenda uhalifumfano kuua,kupora nk.Pale makosa ya kijanai yakifanyika,raia au polisi wanakuwana uhalali kwa kumkamata mtu huyo.Je atakamatwa kwa amani?Endapo ikitokeahivyo,askari polisi halazimiki kutumia nguvu kama vile silaha. Lakini kamaatakuwa anakimbia au anaoendelea kufanya uhalifu ambao unaweza kusabishamadhara makubwa katika jamii,basi hutumia silaha kumkamata.Yapo maeneoyanayoruhusiwa kisheria mfano kupiga risasi hewani za onyo na baadaye kulengauswa wa miguu kushuka chini.Kama askari hatafuata matakwa ya matumizi yasilaha,huwajibishwa kisheria kwa kufikishwa mahakamani kujibu mashitaka kwakosa alilotenda.Katika Tanzania,hakunaraia aliye juu ya sheria. Nimelazika kuandika kwa urefu zaidi ili kujaribu kuondoa dhana potofu ya mwandishi kwambaPolisi Tanzania wanatumia silaha aina ya SMG amabayo ni ya kivita.Lakini piaamesahau hata rifle na shortgun nazo zilitumika kivita enzi zake.
 
"Any police officer may use arms against anyperson in lawful custody charged or convicted of an offence when such person isescaping or attempting to escape where such police officer has reasonableground to believe that he can not otherwise prevent the escape and has given awarning to such person that he is about to use arms against him and suchwarning is unheeded; .... ;or by force, prevents attempt to prevent the lawfularrest of any other persons, where such police has reasonable ground to believethat he or any other person is in danger of grievous bodily harm and can nototherwise effect such arrest or prevent such rescue.
That much I know. But again a pistol here would do. You don't need AK47 for this
Kwa mantiki hiyo basi,sheria haisemi ni bunduki ya aina gani polisi watumie,isipokuwa sheria inahalalisha polisi kutumia bunduki katika kulinda usalama wa raia na mali zao.
Mimi naona hayo ni mapungufu ya katiba yetu. Na inawezekana kwa kutumia mwanya huu polisi wakapewa AK47 ili kupunguza nguvu za JWTZ in case of a mutiny
Kuuawa kwa raia kwa siku za usoni ni jambo ambalotumeshuhudia katika maeneo mbalimbali hapa nchini,hili linapaswa kukemewa kwanguvu zote.
Hata siku moja hilo halitatokea. Utawala wa JK ni wa kidikteta. Anataka wananchi wawaogope polisi.
Ninaamini ya kuwa polisi hupata mafunzo juu ya matumizi ya silaha namadhara yake,hivyo polisi yeyote anapotumia silaha bila kupima ataleta madharagani,anastahili kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria.
Nasikia polisi akiripoti kituo cha kazi anaambiwa mambo ya chuoni siyo doable in "real life" kwahiyo anatakiwa awe ameyabwaga getini anapoaga chuo
 
Japokuwa unajaribu kupotosha tunachojadili, maana tunajadili uhalali wa polisi kumpiga risasi raia ambaye hana bunduki

Nchi zingine bunduki hazibebwi na general duty officers. Zinabebwa na vikosi maalum. Beat cop anakuwa na pistol. Benki zinalindwa na kampuni binafsi. Hawabebi ak47 kama nyinyi

Hebu onesha topic inayozungumzia kumpiga risasi raia. Usikwepe, heading iko wazi sana. Hata hizo nchi nyingine zina utaratibu wao. Nyie ndio aina ya watu mnaopotosha JF kwa kukopi picha za madege ya kivita ya Marekani halafu mnaanza kuiponda Tz.
Hivi unajua kuhusu response time. Kwamba wizi umetokea Mbagala na askari wana marungu wasubiri kikosi maalum kinachobeba SMG kitoke Kinondoni, huoni itakuwa rahisi kwa vijana kujiajiri katika ujambazi? My friend, mfumo wa majeshi unategemea mambo mengi sana ikiwemo jiografia, uchumi, tamaduni n.k. Wewe hapo polisi akikukamata akakwambia kesho uje kituoni utakwenda? Basi hao unaowaita wengine hata wanapofanya makosa wakiwa peke yao huenda kujiripoti polisi. Muache tabia za kukopi na kupesti, fanya utafiti kwanza.

Kampuni gani hapa Tz inahadhi ya kulinda benki? Kwa silaha zipi walizonazo? Hao walinzi wenu wanaopigwa vibao viwili tu wanaweka mikono mbele wafungwe kamba ili wizi utokee ndo unataka walinde mabenki? Na wezi wanaokuja kuiba kwenye mabenki unafikiri ni majambazi wa kawaida tu eeh? Haya bana, subiri katiba mpya, huenda akina chui security wakapata tenda.

Hivi ukienda Somalia ukakuta askari polisi wanafanya doria za kawaida kwa kutumia vifaru si utaandamana wewe?
 
Hivi ukienda Somalia ukakuta askari polisi wanafanya doria za kawaida kwa kutumia vifaru si utaandamana wewe?

Siyo Somalia tu hata hapo Uganda msafara wa rais una kifaru. Ila usifananishe hizo nchi na Tanzania. Hizo nchi ni kama vile zinatawaliwa kijeshi

Mkuu, jambazi akiiba Mbagala wenzenu huwa wanaweka roadblocks. Vinginevyo napenda kusema kwamba kumpa askari polisi Ak47 yenye risasi 30 ni kumpandisha mdadi wa kuua. Ukimpa bastola atakuwa mwangalifu kwasababu hatokuwa mbali na adui halafu haipigi mfululizo
 
Mkuu cha kuongezea hapo wenzetu wanasheria ambayo mtu anaweza akahukumiwa leo lakini akapangiwa tarehe ya kuripoti gerezani mwezi ujao huku akiendelea na shughuli zake mpaka tarehe yake itakapo fika ndo anatakiwa aende yeye mwenyewe.Je kwa watanzania unafikiria inawezekana ni ngumu sana.Kwanza mtu anatoroka mahakamani ije ajipeleke jela.
Hebu onesha topic inayozungumzia kumpiga risasi raia. Usikwepe, heading iko wazi sana. Hata hizo nchi nyingine zina utaratibu wao. Nyie ndio aina ya watu mnaopotosha JF kwa kukopi picha za madege ya kivita ya Marekani halafu mnaanza kuiponda Tz.
Hivi unajua kuhusu response time. Kwamba wizi umetokea Mbagala na askari wana marungu wasubiri kikosi maalum kinachobeba SMG kitoke Kinondoni, huoni itakuwa rahisi kwa vijana kujiajiri katika ujambazi? My friend, mfumo wa majeshi unategemea mambo mengi sana ikiwemo jiografia, uchumi, tamaduni n.k. Wewe hapo polisi akikukamata akakwambia kesho uje kituoni utakwenda? Basi hao unaowaita wengine hata wanapofanya makosa wakiwa peke yao huenda kujiripoti polisi. Muache tabia za kukopi na kupesti, fanya utafiti kwanza.

Kampuni gani hapa Tz inahadhi ya kulinda benki? Kwa silaha zipi walizonazo? Hao walinzi wenu wanaopigwa vibao viwili tu wanaweka mikono mbele wafungwe kamba ili wizi utokee ndo unataka walinde mabenki? Na wezi wanaokuja kuiba kwenye mabenki unafikiri ni majambazi wa kawaida tu eeh? Haya bana, subiri katiba mpya, huenda akina chui security wakapata tenda.

Hivi ukienda Somalia ukakuta askari polisi wanafanya doria za kawaida kwa kutumia vifaru si utaandamana wewe?
 
Mr. Gobore SMG and AK47 norinco are two different things.

What I wanted you to know however is that in Tanzanian context AK47 they call it SMG which is wrong

I said from the beginning AK47 is what Tanzanian cops use alongside G3(HK), chinese pistol and revolver. Whenever an innocent unarmed person gets shot make no mistake it is not a pistol but it is AK47 which you claim to be SMG is used

The links I've provided will help you challenge your N.C.Os the next time they want you to call an AK47 as SMG

Thus in Tanzanian context SMG=AK47 which you didn't know not until I explained to you!!!

Type 56 assault rifle - Wikipedia, the free encyclopedia

kama umesoma vizuri huwezi tumia wikipedia kama reference yako rudi darasani. AK 47 KIREFU CHAKE NI ANTONOV KALASHINIKOV ILIGUNDULIWA MWAKA 1947 URUSI. IPO KATIKA KUNDI LA SUB MACHINE GUN [SMG]. G3 NAYO IPO KATIKA KUNDI HILI. NA ZIPO SILAHA NYINGI TU KATIKA KUNDI HILI. SMGs ikiwemo AK 47 ZINA LEVAL MBILI SINGLE NA BUST HUTUMIKA JESHINI NA URAIANI KWA KIBALI MAALUM. MAZINGIRA NDO SABABU KUBWA YA KUTUMIWA NA POLISI. HIVYO NI SAHIHI KWA POLISI KUTUMIA SILAHA HIYO.
 
SMG zina mapigo mawili...always! Rapid na single...sasa icho ulichoambiwa na mwanajesh wako sijui umekitoa wapi.
Tatizo lililopo sasa ivi nchini ni kukata tamaa. No one cares abt th other. Yan nchi iko tu. Raia hakuna anayejali maslahi yao na askari vivyo hivyo. Wamekata tamaa...ts Liwalo na liwe.
Sisemi ivo kuhalalisha matukio yanayoripotiwa recent days.
Nenda Tarime ukute watu wanavouana na mikuki tu. Ni balaa...
My point is..even a knife in th hands of mtu aliyekata tamaa na maisha is lethal.
Improved police welfare is th only solution. Fikiria kozi ya polisi ya miez sita tu. Unadhan anafundishwa enuff??! Ila ndo bajeti waliyopewa...how do they make ends meet?
Tutawalaumu sana polisi wetu but unless maslahi na mafunzo yao yanakuwa improved tutapiga kelele in vain.
Kuwanyang'anya bunduki si solution. Kwani Mwangosi aliuliwa na SMG??!
Adios...morning!
 
kama umesoma vizuri huwezi tumia wikipedia kama reference yako rudi darasani.
Wikipedia zipo kwa mazumuni gani?

Nyie mnatumia AK47 kwa raia ndo maana mnaona heri mtumie euphemism ya submachine gun. Hii nchi bwana! Hili suala likishikiwa bango na wanaharakati litaifikisha serikali pabaya. Ngoja tuanze kurekodi vifo vinavyotokana na hizo AK47
 
Mwangosi aliuuawa na BOMU LA KIVITA. Yaani nchi yetu polisi wana FIREPOWER mithili ya infantry unit!

Mhhh wewe Azipa! Siku izi mabomu ya mshindo ni ya kivita eeh??!
 
Last edited by a moderator:
Wikipedia zipo kwa mazumuni gani?

Nyie mnatumia AK47 kwa raia ndo maana mnaona heri mtumie euphemism ya submachine gun. Hii nchi bwana! Hili suala likishikiwa bango na wanaharakati litaifikisha serikali pabaya. Ngoja tuanze kurekodi vifo vinavyotokana na hizo AK47

We wa ajab sana badala ya kushikilia bango maslahi na recruit courses za polisi ziboreshwe...
Pistol izo izo in th hands of a not cared for half cooked police officer ni as deadly as an AK-47 SMG...
 
Nimetoa references zingine tofauti na wikipedia kwasababu nilijua mtaundermine credibility ya wikipedia

Mkuu usiongopee watu! AK47 na smg hakuna kitu tofauti isipokuwa smg ni jina la jumla (general) kwa bunduki zote zenye mapigo na tabia hizo.AK47 ni bunduki ilogunduliwa huko Rusia na mtu aitwaye Kalashnikov ambaye alikuwa sgt wa jeshi.Ndio bunduki ikaitwa Atomatic Kalashnikov (AK47) Na ziko nyingine nyingi tu ambazo nu UZ GUN n.k
 
Mkuu usiongopee watu! AK47 na smg hakuna kitu tofauti isipokuwa smg ni jina la jumla (general) kwa bunduki zote zenye mapigo na tabia hizo.AK47 ni bunduki ilogunduliwa huko Rusia na mtu aitwaye Kalashnikov ambaye alikuwa sgt wa jeshi.Ndio bunduki ikaitwa Atomatic Kalashnikov (AK47) Na ziko nyingine nyingi tu ambazo nu UZ GUN n.k

Mmekalilishwa kwamba polisi wanatumia SMG sasa mimi nikawa specific zaidi kusema wanatumia AK47. Tatizo lipo wapi? Sidhani hata apartheid South Africa police roamed the streets with AK47 ni Tanzania tu
 
Mmekalilishwa kwamba polisi
wanatumia SMG sasa mimi nikawa specific zaidi kusema wanatumia AK47.
Tatizo lipo wapi? Sidhani hata apartheid South Africa police roamed the
streets with AK47 ni Tanzania tu

Kama umenifatilia hapo juu,nimesema majambazi wa siku hizi nao wana silaha kali! sasa kama utasema mapolisi wasitumie AK47 unadhani watakabilianaje na majambazi!? hilo ndio swala la msingi.
 
Kama umenifatilia hapo juu,nimesema majambazi wa siku hizi nao wana silaha kali! sasa kama utasema mapolisi wasitumie AK47 unadhani watakabilianaje na majambazi!? hilo ndio swala la msingi.

Nchi zingine wanafanyaje? Tena huko umiliki wa silaha ni njenje!
 
Nchi zingine wanafanyaje? Tena huko umiliki wa silaha ni njenje!

Hows their technology? Do we compare?
Btw mi sikuungi mkono hata kidogo bana...we fight maslahi na kozi ziboreshwe tu ivi vingine porojo tu. Sheria ishawaruhusu uta-do??!
 
Hows their technology? Do we compare?
Btw mi sikuungi mkono hata kidogo bana...we fight maslahi na kozi ziboreshwe tu ivi vingine porojo tu. Sheria ishawaruhusu uta-do??!

http://www.timeslive.co.za/local/2012/12/04/mbatha-sentenced-to-17-years-for-soweto-teen-s-murder
 
Back
Top Bottom