Nauliza: Muhingo Rweyemamu na Salvatory Rweyemamu ni ndugu?

Wakuu, hawa jamaa hawana undugu wowote wa damu. Ingawa ni kweli wote ni wahaya wa Bukoba, lakini hawana uhusiano. Muhingo ni mwenyeji wa Misenyi na Salva anatokea Muleba. Wote wamewahi kufanya Habari Coop, mmoja akiwa mmiliki (Salva) mwingine akiwa mwandishi ila wote ni watu wa kaka mkubwa!
DALLAI LAMA, Mungi na Mzee wa Usafi, kuna hoja hapa naombeni mje muondoe Contradiction. Mshikaji wangu chaArusha anasema hawana undugu wowote sasa sijui anatudanganya au anasema ukweli.

TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),

tumbiri@jamiiforums.com
 
Hawana undugu wa damu, ni majina tu, kufanya kazi pamoja na unafiki wao ndo umewafikisha hapo
 
Tupatie ushahidi wa kuthibitisha madai yako.[/QUOTE

Najua wanatembelea hapa. Waje wabishe!!!!! Muhingo alifanya kazi kubwa sana wakati wa kampeni na aliahidiwa donge nono!!! It was pending man!!! Tuna details tu bas wakati mwingine tunaamua kukaa kimya tu.
 
Maane. Nahisi unayo matatizo binafsi na akina Rweyemamu. Kama unavyo vielelezo kwamba hawa siyo Watanzania kwanini usivitoe badala ya kusubiri wao wakanushe?
 
Siyo ndugu na Uhaya tuuweke pembeni. Ila wanafanana kwa tabia moja. Kujipendekeza.

Hebu fuatilia syndicate hii. Salva Rweyemamu, muhingo Rweyemamu, Prince Bagenda, Irene Kakiziba (Bwire), Premy Kibanga nk

Jiulize walifikaje Ikulu ingawa Irene yeye yupo kwa Waziri Mkuu. Bagenda kapenyaje toka upinzani hadi Ikulu, akawa mshauri wa CCM, leo ameajiriwa na Rostam, Habari Corporation, ili kujiandaa na 2015.
 
mabhuimerafulu,

Hii kule mahakamani wanasema ni ushahidi wa kimazingira ukiangalia hapa kuna Rostam alikuwa mbunge pia na tuhuma kibao, Salva alikuwa Habari corp, Muhingo alikuwa Habari corp pia ktk kampeni za mkuu.

Hii link ukiitafakari kuna ambayo yanayosemwa yakawa kweli
 
Back
Top Bottom