1. Watanzani na Wakenya, wapi wanaishi maisha ya Msoto zaidi katika maisha ya kila siku?.
2. Katika Afrika Mashariki na Kati, ni nchi gani wanaisha maisha mazuri ya kila siku?.
Nakubaliana na wewe mkuuKenya maisha ni magumu na ya kusota mno.Kukuta mtu ana degree mbili anaendesha matatu (dala dala) si kitu cha ajabu.Kazi shida,ardhi shida kwa ujumla maisha ni taabu sana.Kuishi Kenya si tu uwe na akili unabidi uwe na watu wa kabila yako wenye nafasi wa kukusaidia.Ukiwa huna kuishi Kenya shighuli.Tofauti na Tanzania mtu kutoka popote aweza kwenda popote na akaanza maisha na yakaenda.
Maisha mazuri ambayo ni stress free yako Tanzania.Kenya unahitaji kuwa na vidonge vya kupunguza stress full time ikiwezekana kwenye mifuko.
1. Watanzani na Wakenya, wapi wanaishi maisha ya Msoto zaidi katika maisha ya kila siku?.
2. Katika Afrika Mashariki na Kati, ni nchi gani wanaisha maisha mazuri ya kila siku?.
maoni yangu binafsi kat ya wakenya na wabongo,sisi wabongo tumezid kwa msoto,wenzetu uchumi uko imara zaid yetu kwaio hata panya wakitafuna pesa wananchi hawaumii sana ukilinganisha na hapa panya mmoja(fisadi),akitafuna watu wanalia mwaka mzima,ila maisha mazuri waganda ndo wanaish
maoni yangu binafsi kat ya wakenya na wabongo,sisi wabongo tumezid kwa msoto,wenzetu uchumi uko imara zaid yetu kwaio hata panya wakitafuna pesa wananchi hawaumii sana ukilinganisha na hapa panya mmoja(fisadi),akitafuna watu wanalia mwaka mzima,ila maisha mazuri waganda ndo wanaish
1. Watanzani na Wakenya, wapi wanaishi maisha ya Msoto zaidi katika maisha ya kila siku?.
2. Katika Afrika Mashariki na Kati, ni nchi gani wanaisha maisha mazuri ya kila siku?.