Nauliza kwa nini Agakhan Foundation wanapewa misamaha ya kodi

Ndugu wanaJF napenda kufahamu kwa nini taasisi ya Agakhan inapewa misamaha ya kodi hapa nchini kwetu. Nina uliza kwa sababu huduma za Agakhan mfano hospital za Agakhan ni ghali kuliko hospitali zote hapa nchini. Mfano mtoto mdogo wa wiki moja ukimpeleka Agakhan ili alazawe lazima uweke deposit ya laki tano za Tanzania ndiyo apewe huduma ya matibabu. Kumwona daktari ni elfu Ths 40,000-70,000. Shule za Agakhan ada zake nazo zipo juu kulinginishwa shule zingine za binafsi. Je kwanini wapate misamaha ya kodi? Je wanastahili kupewa misamaha ya kodi?

Hwa Agakhan hawa kwanza sio taasisi ya dini, wamevurugana na Mfuko wa Taifa ya Bima ya Afya mpaka wamejitoa maana gharama zao sio realistic... nasikia NHIF iliwagomea... they do not deserve anything wafanya biashara hao.. wana mahoteli 5 star nchi nzima Serena hotels zote zao, pale arusha opposite na ziwa duluti pia wana hoteli kali sana ! sijui kama wanalipa Kodi wavunaji tu hawa wana bodi... Kwenye hospitali tanzania in all aspects wako juu kuliko hospitali yote unayoifahamu hapa bongo....
 
Wazo zuri ili tusikie kutoka Serikalini officially.
Maana yake ni wengi tusioelewa pia katika kifungu cha 11 cha mkataba wa MoU kinaposema:
Serikali ni lazima itoe nafasi za ajira katika vyuo vyake vya Ualimu (TTC) kwa wanafunzi wa Kikristo kufundisha watu wataofuzu kama Walimu kwa ajili ya shule za Makanisa zilizoanzishwa"
Kwa nini iwe ni kwa Wakristo na Kanisa tu? huoni kuwa inajenga matabaka ya walio juu na chini?

Suala la misaada kufuatana na MoU: Kwa nini wahisani waombwe na Serikali kulichangia Kanisa tu huku watu wa dini nyingine waachiwe kujitafutia wenyewe? na hata pale wanapofanikiwa kupata wafadhili mfano OIC wanapigwa chini?

Kwa nini Wakristo wapewe uhakika wa kutotaifishiwa taasisi zao (kufuatana na MoU) huku watu wa dini nyingine wakiishi bila ya uhakika wa kutotaifishiwa taasisi zao?
Kivyovyote vile tunahitaji majibu ya kiserikali.
.

Mkuu tafuta mbunge aulize hayo yote.


Kama kweli Serikali inatenga nafasi maalum kwenye vyuo vya elimu kwa ajili ya walimu wa shule za kanisa, hilo nalo linaweza kuulizwa tena liulizwe kwa undani: walimu wangapi, kwenye chuo kipi, kutoka shule ipi, kuanzia lini hadi lini, idadi, kwa muda gani na ikiwezekana majina.
 
Sideeq ubishi haukuishi we ndugu yangu, kila siku hayohayo! jenga hoja, mara pengo, mara MoU nk, we bila Dareda Hospital babu zako kule Galapo nani angeawatibu.
 
serikali inashindwa kusimamia hudum za msingi kama hizo na badal yake matatizo kama hayo
 
Ndugu wanaJF napenda kufahamu kwa nini taasisi ya Agakhan inapewa misamaha ya kodi hapa nchini kwetu. Nina uliza kwa sababu huduma za Agakhan mfano hospital za Agakhan ni ghali kuliko hospitali zote hapa nchini. Mfano mtoto mdogo wa wiki moja ukimpeleka Agakhan ili alazawe lazima uweke deposit ya laki tano za Tanzania ndiyo apewe huduma ya matibabu. Kumwona daktari ni elfu Ths 40,000-70,000. Shule za Agakhan ada zake nazo zipo juu kulinginishwa shule zingine za binafsi. Je kwanini wapate misamaha ya kodi? Je wanastahili kupewa misamaha ya kodi?

Kwa sababu asilimia 99.9 ya Waumini wa Aga Khan ni Wahindi and they got there stuff in order ukilinganisha na Wasengerema wanaojifanya "Waswahilina" dizaini ya "Sideeq" na "Ritz". Pamoja na majigambo yao yote, Wasengerema kama hawa hawathubutu kutia mguu kwenye misikiti ya Ismailia kamwe, kwani wanaweza vurumushwa mbio na virungu kama vibaka wa viatu tu pamoja na "U-Al-Qaeda" wao wote! Kubambuzi! Ritz au Sideeq ukimkuta msikiti wa wa Aga Khan au Waismailia utakuta aidha ni Mlinzi, Muosha vyoo, au Tarishi fulani tu msikitini huku pembeni akijifanya ni "Mswahilina" kwenye ka msikiti kake huko Uswahilini Ilal Bungoni, Buguruni au sijui wapi. Kubambuzi!
 
Mkuu utajiuliza mengi! iweje Serikali itoe 54% ya bajeti ya Wizara ya Afya kwa Makanisa peke yake? kwa nini iwe Kanisa tu na si taasisi nyinginezo za dini nyinginei? vipi Kanisa liwachiwe kuendesha Mahospitali yake kibiashara kwa pesa ya walipa kodi huku Serikali isiambulie chochote katika faida? vilevile Serikali inazidi kupoteza katika misamaha ya kodi ya Hospitali hizohizo? Serikali imezidiwa kitu gani na Kanisa? kwa nini Kanisa liweze Serikali ishindwe?
Ni maoni yangu kuwa Mbatia hakujibiwa kwa kuogopwa hili suala lingefikia kuhojiwa upewaji wa makanisa mabilioni ya pesa za Watanzania.
Ni wakati muwafaka sasa kwa hayo uliyouliza na hili la Makanisa Serikali iwapatia jibu walipa kodi.

Mkuu hawa hawataki ujadili MOU na in reality huwezi kuacha kajadili hii kitu sababu agakhan nayo ni taasisi ya kidini kama zilivyo za hawa wenzetu! Au wanaotakiwa kupewa misamaha ya kodi na ruzuku ni taasisi za kikristo tu.

Wanaongelea gharama .. shule za kanisa zina gharama sana.. nenda kaulize school fee ya Marian girls

Wanaongelea hospital za kanisa kutibu watu wote.. kwani pale agakhan kuna mkristo anayebaguliwa? ...

Shule ya agakhan mzizima mbona wapo watoto wa kikristo wanasoma.

Hatuwezi kujadili hii thread bila kuzungumzia MoU
 
Back
Top Bottom