Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hawa wezi wa taifa hivi bado wanachimba madini na kusafirisha au wamesimama kama kininikia?
Kama hawana usajili, hawana kibali, wanachimba tu na kusafirisha kasoro makinikia nini maana yake?
Je niwezi kama tunavyoaminishwa? Je utamwacha mwizi aendelee kuiba na anaiba sio halali yake?
Nini kigugumizi cha kumfungashia virago mwizi huyu?
Je ni mwizi au sio mwizi?
Kama hawana usajili, hawana kibali, wanachimba tu na kusafirisha kasoro makinikia nini maana yake?
Je niwezi kama tunavyoaminishwa? Je utamwacha mwizi aendelee kuiba na anaiba sio halali yake?
Nini kigugumizi cha kumfungashia virago mwizi huyu?
Je ni mwizi au sio mwizi?