Matokeo1
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 231
- 42
Hihii tume ya utumishi ya ajira sina imani nayo ndugu zangu, naona yule mshikaji corruption yupo kabisa, maana mchakato wa interview na kufaulu wengi wanaopata zile nafasi zenye maziwa na asali ni watoto wa washua tu, sisi watoto wa wakulima ni maafisa kata, watendaji wa vijiji, tena upate kwa mbinde, na utazipata pale watoto wa kishua wanapozikataa. da!