Where can I get that doc? post for me if you have one. Anyway, I am more informed, if not knowledgeable of what is going on in EU rather than SADC!Soma 1997 SADC Protocol on Education and Training halafu ulizia wanafunzi wa kitanzania wanaosoma vyuo vikuu nchi za SADC wanalipa ada kiasi gani ukilinganisha na wanafunzi wanaotoka nchi zisizo mwanachama wa SADC
Tafiti nyingi za Bongo ni nyepesi kama karatasiWhere can I get that doc? post for me if you have one. Anyway, I am more informed, if not knowledgeable of what is going on in EU rather than SADC!
Prelude: Nimeiona protocol. On quick perusal, I am unable to identify from the doc amount of funding say for students at leat at University level.... specifically stated and how to access the funds
Hivi ndizo zile University za kama Mandela University of Science and technology ya Arusha? Zile ni za hovyo kabisa, zinafanya research za surveys eti ndiyo science and technology kuzifikia nchi za magharibi (za mabeberu as you call them)
unaacha kusoma kwenye nchi za maana unaenda kusoma nchi masikini za SADC !Soma 1997 SADC Protocol on Education and Training halafu ulizia wanafunzi wa kitanzania wanaosoma vyuo vikuu nchi za SADC wanalipa ada kiasi gani ukilinganisha na wanafunzi wanaotoka nchi zisizo mwanachama wa SADC
Kwanini usinde kupiga mayowe na kuanzisha chadema hukuhuko kwenye nchi za maana?unaacha kusoma kwenye nchi za maana unaenda kusoma nchi masikini za SADC !
Watu wa mipaka ya tunduma na kasumulu tunajua faida ya sadc,ni zero.rate kwa bidha za nchi.wanachamaMwenye jibu anisaidie niweze kuielewa vema SADC in terms of its material well-being delivery to their respective poor populations
Hongera uliyesoma Iranunaacha kusoma kwenye nchi za maana unaenda kusoma nchi masikini za SADC !
Mbona bado hawajamaliza mzunguko wa wenyeviti? Wakimaliza huenda wataanza kuwakumbuka wananchi,Afrika Kusini walikuwa wakimficha Bashir lakini wasudani wamewaumbua viongozi hao, nasikia iko nyingine inaitwa AU hii sijui inauza nini sokoni.Mwenye jibu anisaidie niweze kuielewa vema SADC in terms of its material well-being delivery to their respective poor populations
Umemaliza kazi, basi!Mbona bado hawajamaliza mzunguko wa wenyeviti? Wakimaliza huenda wataanza kuwakumbuka wananchi,Afrika Kusini walikuwa wakimficha Bashir lakini wasudani wamewaumbua viongozi hao, nasikia iko nyingine inaitwa AU hii sijui inauza nini sokoni.
Jikite kwenye madaKwanini usinde kupiga mayowe na kuanzisha chadema hukuhuko kwenye nchi za maana?