edger jairos
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 335
- 71
Naomba kujua battery Bora kuliko zote na mpya n50 kati ya exide na atlas na zinapopatika ( Harrier old model 1999 cc)
Bei pia zikoje?
Bei pia zikoje?
kila battery ni nzuri in my opinion, kinachokuja kuangaliwa ni jinsi unavyoitumia na kama unaifanyia service. Service ya battery ni kitendo chaku extend battery life inaeza kua kwa kui charge kwa masaa husika baada ya lets say masaa kadhaa yakufanya kazi and so on. Mi nmetumia battery ya Spark N50 kwa miaka takribani minne imekuja kufa juzi hapa baada ya mafundi kutumia umeme mkubwa kwny mtambo wao wakucharge.Naomba kujua battery Bora kuliko zote na mpya n50 kati ya exide na atlas na zinapopatika ( Harrier old model 1999 cc)
Bei pia zikoje?
Inafaa kwny harrier ila mm nlitumia kwny subaru forester.Spark n 50 ulitumia kwenye haria?
Nenda kwny ofisi zao wanapouza jumla na reja reja, N50 inarange kwny 100k - 150k inategemea na ofisi ilipo. Ungeakua mkoa wa mbeya ningekuelekeza kwa urahisi kabisa.Exide naina inasifiwa sana bei ikoje???
Nenda kwny ofisi zao wanapouza jumla na reja reja, N50 inarange kwny 100k - 150k inategemea na ofisi ilipo. Ungeakua mkoa wa mbeya ningekuelekeza kwa urahisi kabisa.
Sio mbaya ukiijaribu mkuu.Naona nimeambiw pia kun Betri nzur zaid ya exide,180...
Niuzie hio betri mkuu kwa matumizi ya kuwashia taa tu nyumbanikila battery ni nzuri in my opinion, kinachokuja kuangaliwa ni jinsi unavyoitumia na kama unaifanyia service. Service ya battery ni kitendo chaku extend battery life inaeza kua kwa kui charge kwa masaa husika baada ya lets say masaa kadhaa yakufanya kazi and so on. Mi nmetumia battery ya Spark N50 kwa miaka takribani minne imekuja kufa juzi hapa baada ya mafundi kutumia umeme mkubwa kwny mtambo wao wakucharge.
Conclusion ni kwamba battery ni utunzaji tu, unaeza ishi na battery moja miaka nenda rudi na usije nunua battery nyingne tena. Maana mashine zakurevive battery cell zilizochoka zipo madukani. Na recommend ukanunue battery kwny ofisi za exide. All the best
Niuzie hio betri mkuu kwa matumizi ya kuwashia taa tu nyumbani
Nipo Mwanza.Upo wap
0715 755 555 wapigie simu, delivery wanafanya popote ulipo Dar.Nipo dar sijui wapo sehem gan
Tupo mbali mkuu, ningekuuzia.Niuzie hio betri mkuu kwa matumizi ya kuwashia taa tu nyumbani
upo Dsm kaka?Tupo mbali mkuu, ningekuuzia.
Hamna nipo mbeya kaka.upo Dsm kaka?
nimeuliza inaweza tunza.moto kwa muda gani?
Mkuu nambie kama inaweza tunza.moto hata kwa masaa sitaHamna nipo mbeya kaka.