Nauliza! Baada ya kufanikiwa kushawishi tukawekewa vikwazo. Je, sharti litakuwa lazima tukupe Urais?

commonmwananchi

JF-Expert Member
Mar 12, 2011
3,377
1,952
Wadau!
Swali hili nimejiuliza sana, lakini nimeona pia niulize humu JF, ambako wafuasi wa huyu jamaa wamo lukuki.

Binafsi kama binadamu wengine wote, hakuna ambaye ana akili timamu anayeweza kushabikia yaliyompata ndugu yetu Lissu.

Siwajui waliomtendea haya walikuwa na kusudio gani hasa. (Hiki bado ni kitendawili).
Lakini pia siwezi kuanza kusema ninachotaka kukisema bila kwanza kuwalaani au kumlaani yeyote au kundi lolote lile ambalo liko nyuma ya shambulio hilo lililokuwa na nia ovu.
Tunashukuru mungu kwa kunusuru maisha ya mtanzania mwenzetu huyu.
Amen.

Sasa basi,
Ndugu Lissu amepona na kupitia media mbalimbali,na hasa manazi au wapambe wake humu JF,tunapewa taarifa za yeye kuanza ziara yake huko ulaya UK rasmi na tukiambiwa pia atakwenda EU huko Brussels, ubelgiji (ambako ndio chanzo cha plan hii).

Na baadae tunaambiwa atafika pia USA.

KWA
mujibu wa kauli zake, ni kwamba anakwenda kuwaeleza kuhusu ni nini kilichotokea siku hiyo ya shambulio la kumdhuru.
Lakini haiishii hapo bali anachokisema kwenye maelezo yake muda woote ni kana kwamba yeye tayari amekwisha fanya uchunguzi au upelelezi kuhusu ni nani hasa aliyeko nyuma ya shambulizi dhidi ya uhai wake.

Na tayari alikwishafunga jalada na kutoa hukumu. Kwa hali hiyo anakwenda kuishtaki serikali ya JMT kwenye nchi hizo zenye maguvu ya kiuchumi duniani, ya kwamba serikali hii instahili kunyimwa misaada kwa sababu anazoziamini yeye na walioko nyuma ya mpango huu.

*"Ubelgiji na Us wakati huo, enzi za vita kuu ya kwanza ndani ya kongo,ikipingana na urusi ya USSR. ndio walioshirikiana kumuuwa waziri wa kwanza wa kidemokrasia nchini Zaire, marehemu Patrice Emelie lumumba "*

Nimeweka hiyo hapo juu ili tu kuweka kumbukumbu sawa, ili Lissu na hao marafiki wako wapya, jamii ielewe kwamba hawajawahi na hawatawahi kuwa marafiki wa kweli wa muafrika.
ZAIDI YA KUKUNG'ONG'A kila unapowapa kisogo.

Mpango wako na rafiki zako mmeupanga sawia na hasira za mabeberu dhidi ya JPM, kutokana na misimamo yake mikali dhidi ya wizi wa raslimali zetu kutoibiwa kama shamba la bibi.

Tofauti na watangulizi wake. Yeye amekuwa mwiba usiopenyeka kirahisi.
Lakini pia amekataa baadhi ya mikataba ya kinyonyaji kama EPA nk.
Jambo ambalo limezifanya nchi kubwa afrika kama Nigeria pia kushtuka na kuchukua muelekeo wa Tanzania.
Hili pia linewatia hasira mbaya sana hao wazungu wa lissu.

Na mbaya kabisa, Tanzania imeelekea zaidi kutoa tender kubwa kubwa kwenye nchi ambazosi marafiki au wanajumuia ya ulaya

Mfano.
SGR - Uturuki. (Sasa ni adui wa US.).

STIEGELS GORGE- Egypt (yaleyale)mwarabu.

MABARABARA - China.(adui wa marekani kiuchumi,kijeshi na kisiasa).

Hizo sasa, ukiongezea na makinikia,kwa wale tunaopenda kudadisi na kutumia akili zetu vizuri.
Huyu bwana Lissu anaweza kuwa mtaji mzuri kwa mabeberu hawa kuanzia.

Na ndio maana nimeuliza.
Kama nchi hizo zitashawishika na Tundu lissu na marafiki zake. ambao wengine wanamhujumu rais wakiwa hapa hapa nchini, kama tunavyowaona sasa hivi wakopokezana kutushtaki mara UN,commonwealth, EU nk.
Tukawekewa VIKWAZO ,mkafurahia ushindi wenu na EU & US.
Baada ya hapo maisha ya watanzania yakawa magumu kupitiliza.
Mahospitali yakakosa madawa,na kupelekea wananchi kupoteza maisha. Nk.Nk........
Kwa ujumla nchi ikayumba!

Je 2020 au baada ya hapo, mtakuja kutuomba ridhaa ya kushika dola kwa kigezo cha kwamba mkipewa dola na kushika serikali JMT.
Ndio hali itakuwa nzuri na salama yetu ni kuwapigia kura nyinyi na lissu, ili arudi kwa wazungu kuwaambia waondowe VIKWAZO???

Na je?
Ikiwa ndio hivyo,nini itakuwa malipo yenu kwa wazungu hawa?

Maliasili zetu? Au kipi?

Naomba watanzania wenye kuitakia mema nchi tulitafakari hili.

TANZANIA KWANZA DAIMA. # nasimama na magufuli 2020

tapatalk_1546618366899.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni LAANA kwa wafuasi wa LISU kuhoji au kufikiri nje ya kile ANACHOFIKIRI LISU.Hapa subiri matusi, dhihaka na kejeli na wakikuheshimu sana huu uzi watapita kama hawajauona.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Misuli, hawa jamaa, sometimes huwa tunawaacha waendelee, lakini baadhi ya issue ni serious kiasi kwamba mtu unashindwa kuacha jambo lipite tu.
Yaani linakereketa hadi mtu unaamua kutoa unachokiamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa lake nini hadi apigwe risasi zote zile? Na serikali kukaa kimya bila kufanya uchunguzi wala kumfadhili matibabu inadhihirisha wazi hata kwa mjinga kuwa ni yenyewe ndio inaua watu wake kwa kisingizio kuwa haitaki upinzani.

Kwa hili Lissu yuko sahihi 100% kwa hilo afanyalo na kama ni misaada ngoja tu tunyimwe, afadhali tuikose hiyo misaada kama ndio inaweza ikapelekea tukauangusha huu utawala kandamizi.

Kama wewe ni wa kuua watu eti ndio hayo mnayoita maendeleo yapatikane, basi acha ikae.

We're sick of that kind of development, you better keep your development and leave us with our poverty but at peace.
 
Misuli, hawa jamaa, sometimes huwa tunawaacha waendelee, lakini baadhi ya issue ni serious kiasi kwamba mtu unashindwa kuacha jambo lipite tu.
Yaani linakereketa hadi mtu unaamua kutoa unachokiamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumpinga lisu ni sawa kumpinga mtume Mohammed au Yesu kristo. Usithubutu mkuu ili kulinda heshima yako.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Wadau!
Swali hili nimejiuliza sana, lakini nimeona pia niulize humu JF, ambako wafuasi wa huyu jamaa wamo lukuki.

Binafsi kama binadamu wengine wote, hakuna ambaye ana akili timamu anayeweza kushabikia yaliyompata ndugu yetu Lissu.

Siwajui waliomtendea haya walikuwa na kusudio gani hasa. (Hiki bado ni kitendawili).
Lakini pia siwezi kuanza kusema ninachotaka kukisema bila kwanza kuwalaani au kumlaani yeyote au kundi lolote lile ambalo liko nyuma ya shambulio hilo lililokuwa na nia ovu.
Tunashukuru mungu kwa kunusuru maisha ya mtanzania mwenzetu huyu.
Amen.

Sasa basi,
Ndugu Lissu amepona na kupitia media mbalimbali,na hasa manazi au wapambe wake humu JF,tunapewa taarifa za yeye kuanza ziara yake huko ulaya UK rasmi na tukiambiwa pia atakwenda EU huko Brussels, ubelgiji (ambako ndio chanzo cha plan hii).

Na baadae tunaambiwa atafika pia USA.

KWA
mujibu wa kauli zake, ni kwamba anakwenda kuwaeleza kuhusu ni nini kilichotokea siku hiyo ya shambulio la kumdhuru.
Lakini haiishii hapo bali anachokisema kwenye maelezo yake muda woote ni kana kwamba yeye tayari amekwisha fanya uchunguzi au upelelezi kuhusu ni nani hasa aliyeko nyuma ya shambulizi dhidi ya uhai wake.

Na tayari alikwishafunga jalada na kutoa hukumu. Kwa hali hiyo anakwenda kuishtaki serikali ya JMT kwenye nchi hizo zenye maguvu ya kiuchumi duniani, ya kwamba serikali hii instahili kunyimwa misaada kwa sababu anazoziamini yeye na walioko nyuma ya mpango huu.

*"Ubelgiji na Us wakati huo, enzi za vita kuu ya kwanza ndani ya kongo,ikipingana na urusi ya USSR. ndio walioshirikiana kumuuwa waziri wa kwanza wa kidemokrasia nchini Zaire, marehemu Patrice Emelie lumumba "*

Nimeweka hiyo hapo juu ili tu kuweka kumbukumbu sawa, ili Lissu na hao marafiki wako wapya, jamii ielewe kwamba hawajawahi na hawatawahi kuwa marafiki wa kweli wa muafrika.
ZAIDI YA KUKUNG'ONG'A kila unapowapa kisogo.

Mpango wako na rafiki zako mmeupanga sawia na hasira za mabeberu dhidi ya JPM, kutokana na misimamo yake mikali dhidi ya wizi wa raslimali zetu kutoibiwa kama shamba la bibi.

Tofauti na watangulizi wake. Yeye amekuwa mwiba usiopenyeka kirahisi.
Lakini pia amekataa baadhi ya mikataba ya kinyonyaji kama EPA nk.
Jambo ambalo limezifanya nchi kubwa afrika kama Nigeria pia kushtuka na kuchukua muelekeo wa Tanzania.
Hili pia linewatia hasira mbaya sana hao wazungu wa lissu.

Na mbaya kabisa, Tanzania imeelekea zaidi kutoa tender kubwa kubwa kwenye nchi ambazosi marafiki au wanajumuia ya ulaya

Mfano.
SGR - Uturuki. (Sasa ni adui wa US.).

STIEGELS GORGE- Egypt (yaleyale)mwarabu.

MABARABARA - China.(adui wa marekani kiuchumi,kijeshi na kisiasa).

Hizo sasa, ukiongezea na makinikia,kwa wale tunaopenda kudadisi na kutumia akili zetu vizuri.
Huyu bwana Lissu anaweza kuwa mtaji mzuri kwa mabeberu hawa kuanzia.

Na ndio maana nimeuliza.
Kama nchi hizo zitashawishika na Tundu lissu na marafiki zake. ambao wengine wanamhujumu rais wakiwa hapa hapa nchini, kama tunavyowaona sasa hivi wakopokezana kutushtaki mara UN,commonwealth, EU nk.
Tukawekewa VIKWAZO ,mkafurahia ushindi wenu na EU & US.
Baada ya hapo maisha ya watanzania yakawa magumu kupitiliza.
Mahospitali yakakosa madawa,na kupelekea wananchi kupoteza maisha. Nk.Nk........
Kwa ujumla nchi ikayumba!

Je 2020 au baada ya hapo, mtakuja kutuomba ridhaa ya kushika dola kwa kigezo cha kwamba mkipewa dola na kushika serikali JMT.
Ndio hali itakuwa nzuri na salama yetu ni kuwapigia kura nyinyi na lissu, ili arudi kwa wazungu kuwaambia waondowe VIKWAZO???

Na je?
Ikiwa ndio hivyo,nini itakuwa malipo yenu kwa wazungu hawa?

Maliasili zetu? Au kipi?

Naomba watanzania wenye kuitakia mema nchi tulitafakari hili.

TANZANIA KWANZA DAIMA. # nasimama na magufuli 2020

View attachment 996185

Sent using Jamii Forums mobile app
Washauri wa Lissu wangemwambia akitaka afanikiwe zaidi akaonane na El Shabab ili waje kuishambulia nchi wafurahi kwa sababu na uchumi utayumba. Lakini hii kwenda kueleza upuuzi wa kutunga mwisho wa siku watakuta work done ni zero. Mange alikusanya mapesa ili kuhamasisha maandamano aliposhindwa kuwashawishi Watanzania wenye akili zao aliishia kuwatukana na sasa anatoa hesabu ya matumizi ya ile pesa aliyokusanya aeleze waziwazi ilitumikaje.
 
Wadau!
Swali hili nimejiuliza sana, lakini nimeona pia niulize humu JF, ambako wafuasi wa huyu jamaa wamo lukuki.

Binafsi kama binadamu wengine wote, hakuna ambaye ana akili timamu anayeweza kushabikia yaliyompata ndugu yetu Lissu.

Siwajui waliomtendea haya walikuwa na kusudio gani hasa. (Hiki bado ni kitendawili).
Lakini pia siwezi kuanza kusema ninachotaka kukisema bila kwanza kuwalaani au kumlaani yeyote au kundi lolote lile ambalo liko nyuma ya shambulio hilo lililokuwa na nia ovu.
Tunashukuru mungu kwa kunusuru maisha ya mtanzania mwenzetu huyu.
Amen.

Sasa basi,
Ndugu Lissu amepona na kupitia media mbalimbali,na hasa manazi au wapambe wake humu JF,tunapewa taarifa za yeye kuanza ziara yake huko ulaya UK rasmi na tukiambiwa pia atakwenda EU huko Brussels, ubelgiji (ambako ndio chanzo cha plan hii).

Na baadae tunaambiwa atafika pia USA.

KWA
mujibu wa kauli zake, ni kwamba anakwenda kuwaeleza kuhusu ni nini kilichotokea siku hiyo ya shambulio la kumdhuru.
Lakini haiishii hapo bali anachokisema kwenye maelezo yake muda woote ni kana kwamba yeye tayari amekwisha fanya uchunguzi au upelelezi kuhusu ni nani hasa aliyeko nyuma ya shambulizi dhidi ya uhai wake.

Na tayari alikwishafunga jalada na kutoa hukumu. Kwa hali hiyo anakwenda kuishtaki serikali ya JMT kwenye nchi hizo zenye maguvu ya kiuchumi duniani, ya kwamba serikali hii instahili kunyimwa misaada kwa sababu anazoziamini yeye na walioko nyuma ya mpango huu.

*"Ubelgiji na Us wakati huo, enzi za vita kuu ya kwanza ndani ya kongo,ikipingana na urusi ya USSR. ndio walioshirikiana kumuuwa waziri wa kwanza wa kidemokrasia nchini Zaire, marehemu Patrice Emelie lumumba "*

Nimeweka hiyo hapo juu ili tu kuweka kumbukumbu sawa, ili Lissu na hao marafiki wako wapya, jamii ielewe kwamba hawajawahi na hawatawahi kuwa marafiki wa kweli wa muafrika.
ZAIDI YA KUKUNG'ONG'A kila unapowapa kisogo.

Mpango wako na rafiki zako mmeupanga sawia na hasira za mabeberu dhidi ya JPM, kutokana na misimamo yake mikali dhidi ya wizi wa raslimali zetu kutoibiwa kama shamba la bibi.

Tofauti na watangulizi wake. Yeye amekuwa mwiba usiopenyeka kirahisi.
Lakini pia amekataa baadhi ya mikataba ya kinyonyaji kama EPA nk.
Jambo ambalo limezifanya nchi kubwa afrika kama Nigeria pia kushtuka na kuchukua muelekeo wa Tanzania.
Hili pia linewatia hasira mbaya sana hao wazungu wa lissu.

Na mbaya kabisa, Tanzania imeelekea zaidi kutoa tender kubwa kubwa kwenye nchi ambazosi marafiki au wanajumuia ya ulaya

Mfano.
SGR - Uturuki. (Sasa ni adui wa US.).

STIEGELS GORGE- Egypt (yaleyale)mwarabu.

MABARABARA - China.(adui wa marekani kiuchumi,kijeshi na kisiasa).

Hizo sasa, ukiongezea na makinikia,kwa wale tunaopenda kudadisi na kutumia akili zetu vizuri.
Huyu bwana Lissu anaweza kuwa mtaji mzuri kwa mabeberu hawa kuanzia.

Na ndio maana nimeuliza.
Kama nchi hizo zitashawishika na Tundu lissu na marafiki zake. ambao wengine wanamhujumu rais wakiwa hapa hapa nchini, kama tunavyowaona sasa hivi wakopokezana kutushtaki mara UN,commonwealth, EU nk.
Tukawekewa VIKWAZO ,mkafurahia ushindi wenu na EU & US.
Baada ya hapo maisha ya watanzania yakawa magumu kupitiliza.
Mahospitali yakakosa madawa,na kupelekea wananchi kupoteza maisha. Nk.Nk........
Kwa ujumla nchi ikayumba!

Je 2020 au baada ya hapo, mtakuja kutuomba ridhaa ya kushika dola kwa kigezo cha kwamba mkipewa dola na kushika serikali JMT.
Ndio hali itakuwa nzuri na salama yetu ni kuwapigia kura nyinyi na lissu, ili arudi kwa wazungu kuwaambia waondowe VIKWAZO???

Na je?
Ikiwa ndio hivyo,nini itakuwa malipo yenu kwa wazungu hawa?

Maliasili zetu? Au kipi?

Naomba watanzania wenye kuitakia mema nchi tulitafakari hili.

TANZANIA KWANZA DAIMA. # nasimama na magufuli 2020

View attachment 996185

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa Sana wangu
 
Kuna nchi ilichukiwa na kutengwa na jumuiya ya ulaya na Marekani kama Rwanda chini ya Kagame mwanzoni mwa 2000 - 2015?

Jamaa aliweka pamba masikioni alitafutwa apelekwe za Hegue kwa mauaji ya Kimbari na ukiukaji wa haki za binadamu lkn kamwe haku tishika na aliendelea na ujenzi wa Rwanda mpya aliyoiamini huku akitoa huduma za kijamii na kujenga umoja dhidi ya Wanyarwanda.

Kufikia 2015 mabeberu walishtuka kukuta Uchumi wa Rwanda upo juu Africa, Kigali jiji Safi linalovutia Africa, Rwanda Air inapaa na mipango ya kubomoa nyumba za nyasi na kujenga za blocks kwa Wanya Rwanda wote ikitajwa.

Ghafla tukaona Kagame analikwa maeneo mbalimbali duniani mara Israel, Russia, China, America nk.

Nini maana ya hii: Wakati mwingine kama nchi tunapaswa kukisimamia tunachokiamini kwa ajili ya maendeleo ya kesho na matokeo yake mwisho wa siku watatuelewa tu.

Kwa kuwa Rais Magufuli hayafanyi haya kwa maslahi ya familia yake ni jukumu latu kushirikiana nae kwani bila Barbara, reli, umeme, ndege, meli kuimarika bado itatuwia vigumu sana kupata maendeleo ya haraka.

Tutambue hi nchi ina eneo kubwa na wananchi tupo wengi pia. Ni lazima tutengeneze vyanzo vikubwa vya mapato vitakavyochangia kwa wingi Pato la Taifa.

Hapo hata Tundu Lissu tutaweza kulipia matibabu yake na ziara zake za kwa ma LGBT wenzake kwenda kushtaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unajua kuwa Baba yetu wa Taifa ili kuupata uhuru wa Tanganyika toka kwa wakoloni ilibidi azunguke sana huko huko Ulaya?

Hivi unajua kuwa ANC, OAU na viongozi kama Mwalimu Nyerere, Keneth Kaunda, n.k. walizunguka sana kwa wazungu ili kuutokomeza ubaguzi wa rangi wa Kaburu dhidi ya weusi?

Katika mapambano yoyote ya kujikomboa kutokana na ugandamizwaji wa Mwafrika, huwezi kumkwepa mzungu. Historia imedhihirisha hivyo.

Nchi ambayo watawala wanaua watu, wanateka, wanawapoteza raia, wanawatungia sheria gandamizi, wanawafunga raia ovyo kwa sababu tu ya kutofautiana mawazo, ni halali kushirikiana na yeyote ili kuondokana na utawala mbaya. Lisu hatakuwa wa kwanza. Alifanya hivyo Mwalimu, alifanya hivyo Mandela, alifanya hivyo Samora, alifanya hivyo Kaunda, na wengine wengi.

Tuzitazame jitihada za Lisu positively. Tuone kuwa huyu ni mtu aliyekubali kuishi kwa mateso kwaajili ya uhai na furaha ya wengi wasio na ujasiri.

Sala yetu:

Mungu wetu, kila palipo na dhuluma, uliwateua manabii wako ili wakawe viongozi katika ukombozi wa watu wako. Manabii wako, wengine waliuawa, wengine waliteseka lakini mwisho wa yote, ukombozi wa watu wako ulitimia na watawala dhalimu waliangamizwa.

Wana wako wapo katika majuto na majonzi. Wengine wameuawa, wengine wamejeruhiwa, wengine wamepotezwa, wengine wamefungwa kwa uonevu, wengine wamedhulumiwa, wengine wamebomolewa nyumva kwa kuonewa. Hawa wote wana majonzi makubwa. Tunashukuru kwa kuwa wewe Bwana ni mwaminifu, hata katika hii dhiki ambayo haijawahi kutokea, umemnyanyua mtumishi wako Tundu Lisu ili yeye ateseke kwaajili ya wengi wapate kupona. Tunaomba kama ulivyomkinga dhidi ya kifo, uendelee kuulinda uhai wake, kuilinda afya yake, ukamjaze hekima, na kika anenalo likapenye mioyo ya wote wasikiao ili kupitia yeye watu wakawe huru, uhai wao ukapate thamani, mawazo yao yakalindwe, uhuru wao usibughudhiwe na maamuzi yao yakapate kutimia.

Ukawanyong'onyeshe mawakala wa shetani. Hao ndio wake wauao miili ya watu, watekao na kupoteza nafsi hai, wawafungao watu wako kwa hila na uonevu, hao ukawapatilize wao na wazao wao, wala wasionje furaha yoyote, wakapate kujuta na kutambua kuwa wewe ndiwe pekee mwenye kutoa na kutwaa uhai wa wale uliowaumba. Ukawapitishe kwenye njia ya mateso ili wakukumbuke wewe, wakajute, na ukuu wako ukapate kuonekana kwa kila kilichoumbwa.

Wewe uishiye daima, utukuzwe milele na milele maana ukuu wako hauna mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020 sijajua kura yangu itaangukia wapi, lakini kwa sasa siioni faida yoyote ya kupinga mipango ya JPM kwa taifa hili. Mtu hajamaliza hata miaka 5 kelele kila kona, basi hata akina sie tulokua hatutulii maanani chochote tunaanza kuanza kufikiri pengine he is doing something right.
Ndio maana wanasema jiwe la gizani, ukisikia kelele ujuwe limempata mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujuzwa kwa mwenye kujua hivi:- Magufuli kuna rasilimali ipi aliorejesha kutoka kwa wakoloni tokea aingie madarakani?


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Back
Top Bottom