BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Boss mkubwaaaa yuko wapii huyuuu
Nakumbuka alivyokuwa akiwaotea wazee wakazi wa mwendokasi na wale wanaosimama vituo visivyo na maana
Kwakweli aliwashonaaaaa aliwanyoooshaaaa kwelii wengineoooo
Mpeni salam ubungo imetuliasan sema apunguze kidogo kufunga funga madreva wengine wanahitaji kuelimishwa
Nakumbuka alivyokuwa akiwaotea wazee wakazi wa mwendokasi na wale wanaosimama vituo visivyo na maana
Kwakweli aliwashonaaaaa aliwanyoooshaaaa kwelii wengineoooo
Mpeni salam ubungo imetuliasan sema apunguze kidogo kufunga funga madreva wengine wanahitaji kuelimishwa