Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Nauliza tu ili nipate kujua. Hivi PM akijiuzulu (au akiachishwa kazi) wakati Bunge halikutani inakuwa vipi? Kikao cha Bunge kitaitishwa ili kithibitishe PM Mpya?
Au nafasi ya PM itakaa wazi hadi kikao kijacho cha Bunge?
Nauliza hivi kwa sababu uwezekano wa Pinda sasa hivi kuondoka ktk nafasi hiyo ni mdogo sana kwani Bunge kukutana tena ni zaidi ya mwezi mmoja kutoka sasa. Hivyo Pinda tunaye tu hadi wakati huo.
Nauliza tu jameni.
Au nafasi ya PM itakaa wazi hadi kikao kijacho cha Bunge?
Nauliza hivi kwa sababu uwezekano wa Pinda sasa hivi kuondoka ktk nafasi hiyo ni mdogo sana kwani Bunge kukutana tena ni zaidi ya mwezi mmoja kutoka sasa. Hivyo Pinda tunaye tu hadi wakati huo.
Nauliza tu jameni.