kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
WAMILIKI wa Daladala Mkoa wa Dar es Salaam (DARCOBOA) wamesema kuna uwezekano wa kupandisha nauli za daladala kutokana na kupanda kwa bei ya vipuri vya mabasi ya usafirishaji wa abiria.
Akizungumza na Tanzania Daima jana kwa njia ya simu, Mwenyekiti wa Darcoboa, Sabri Mabruk, alisema mgomo ambao walipanga kufanya wiki ikashindikana kutokana na serikali kukubali malalamiko yao katika mkutano wa wadau wa usafirishaji unaotarajia kufanyika Desemba na kwamba ongezeko la nauli itakuwa ni sehemu ya ajenda yao.
"Bei ya
Akizungumza na Tanzania Daima jana kwa njia ya simu, Mwenyekiti wa Darcoboa, Sabri Mabruk, alisema mgomo ambao walipanga kufanya wiki ikashindikana kutokana na serikali kukubali malalamiko yao katika mkutano wa wadau wa usafirishaji unaotarajia kufanyika Desemba na kwamba ongezeko la nauli itakuwa ni sehemu ya ajenda yao.
"Bei ya