Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,774
Salaam kwenu wana jamvi!
Nina swali moja natafuta majibu yake kwenu naomba msaada hapa;
Ninavyojua Mwanamke akipata mimba hupata kichefuchefu na kutapika hasa ndani ya miezi mitatu ya mwanzo, na baada ya hapo hali hiyo huisha;
Je Mwanamke kupata kichefuchefu na kutapika tangu anashika mimba mpaka anapojifungua tatizo huwa ni nini?
Nina swali moja natafuta majibu yake kwenu naomba msaada hapa;
Ninavyojua Mwanamke akipata mimba hupata kichefuchefu na kutapika hasa ndani ya miezi mitatu ya mwanzo, na baada ya hapo hali hiyo huisha;
Je Mwanamke kupata kichefuchefu na kutapika tangu anashika mimba mpaka anapojifungua tatizo huwa ni nini?