Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha...ww jamaa unapenda sana kuchungulia vitunda(kama panya) mara kikwapa cha muke mara nostril
Boflo, sijawahi kuona umekosea
Sikiliza Bujiku
Wanawake sijui kwa nn wanapenda fake hair, huwa sizipendi kabisa na zinawafanya waonekane kama mashetani..
Siku 1 nilikuwa na do na dem 1, nywele zikaporochoka bac stimu yote ikanitoka, na wengine wakiwa na fake
hair hawataki hata uwaguse kichwani, sasa hapo kuna raha gani??
Mi nilipata mwanamke, mrembo ile mbaya, akawa anaiona mi zuzu, eti sitambui ile minywele ya bandia. Akawa ananiambia amezaliwa nazo, na mimi nikawa namuitikia ndio..ndio...ndio...
Basi siku moja tuko kwenye matembezi ikaja mvua kubwa, na hatukuwa na sehemu ya kujisitiri, nywele zililowa na manyuzi yaliyoshonewa yakaanza kukatika.
Mimi nikamuuliza, mwenzangu kulikoni, mbona kichwani kwako kuna matabaka mawili ya nywele,?
Natural hair ndo mpamgo mzima
Wait..is that nose hair peeking out of muke ya muzungu's nostril?
Labda hiyo ya mwanzo tu, nyengine noway hata hizo dreadlocks sijui mnaivyoita.
Vipi lakini...ni nose hair au? Manake kama ni nose hair atakuwa kachemka sana maana kuna nose hair trimmers kibao tu siku hizi.
Mi nilipata mwanamke, mrembo ile mbaya, akawa anaiona mi zuzu, eti sitambui ile minywele ya bandia. Akawa ananiambia amezaliwa nazo, na mimi nikawa namuitikia ndio..ndio...ndio...
Basi siku moja tuko kwenye matembezi ikaja mvua kubwa, na hatukuwa na sehemu ya kujisitiri, nywele zililowa na manyuzi yaliyoshonewa yakaanza kukatika.
Mimi nikamuuliza, mwenzangu kulikoni, mbona kichwani kwako kuna matabaka mawili ya nywele,?