johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,804
Nikuombea tu Waziri wa katiba na sheria Prof Palamagamba Kabudi utuwekee sawa hili la mbunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA Nusrat Henje namna alivyoupata ubunge.
Hili swala lina utata mwingi na ni doa kubwa kwenye chombo kitukufu kama bunge tena kinachoongozwa na daktari wa sheria Tulia Ackson.
Je, kuna uhusiano gani kati ya CHADEMA na DPP hadi zoezi lile likaweza kukamilika kwa namna ile?
Je, kuna mazingira ya rushwa?
Niishie hapo
Ukinizingua Nakuzingua!
Hili swala lina utata mwingi na ni doa kubwa kwenye chombo kitukufu kama bunge tena kinachoongozwa na daktari wa sheria Tulia Ackson.
Je, kuna uhusiano gani kati ya CHADEMA na DPP hadi zoezi lile likaweza kukamilika kwa namna ile?
Je, kuna mazingira ya rushwa?
Niishie hapo
Ukinizingua Nakuzingua!