Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,503
- 217,762
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hatimaye Masiah amefufuka kutoka katika Wafu , Ufufuko wake unaifanya dunia yote kusherehekea kwa furaha na shangwe kuu !
Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .
Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.
Mungu ibariki Chadema
Basi kwa vile siku ya Pasaka ni sikukuu basi natumia ukurasa huu kuwatakia heri ya sikukuu VIONGOZI , WANACHAMA na WAPENZI WOTE wa Chadema dunia nzima .
Sherehekeeni kwa Amani na utulivu.
Mungu ibariki Chadema