Natufuta waimbaji wa kike

thejoy

Member
Mar 29, 2011
9
0
Habari wana JF. Mimi nina Bendi ya muziki na napiga muziki (live Band) kwenye ma Hotel. Natafuta waimbaji wa kike wawili kwaajili ya kuongeza nguvu kwenye bendi. Bendi ipo Dar es salaam lakini wakati mweingine tuna enda kupiga mikoani hasa Arusha na Mwanza.

Aliye tayari anipigie simu 0782555519 au 0784 207307
 
napata nafasi siku ya jmosi nitakutafuta usijali ingawaje nitakuwa na kashughuli ka familia ila nitakutafuta thejoy
 
Natufuta ndio nini? Hii JF chacha imekuwa inaongoza kwa kiswahili cha ki-nyang'au nyang'au.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom