charliehustler
Senior Member
- Nov 13, 2013
- 109
- 79
Salaam wanajamvi
Mimi ni kijana degree holder nimetoka kwenye mahafari hivi juzi tu. Nimefika kwa bibi yangu mzaa baba yangu mlezi (step father) nimemkuta shangazi yangu yaani ni binamu wa baba yangu mlezi.
Tunafanana Umri ni mrembo akanionesha dalili za kunipenda na mm nikajisogeza kwake sasa penzi limepamba moto sana japo bibi hajui.
Anataka nimuoe kabisa.
Sasa ndugu zangu ningependa kujua kama nipo sahihi. Au kuna tatizo hapo.
Nawasilisha
Mimi ni kijana degree holder nimetoka kwenye mahafari hivi juzi tu. Nimefika kwa bibi yangu mzaa baba yangu mlezi (step father) nimemkuta shangazi yangu yaani ni binamu wa baba yangu mlezi.
Tunafanana Umri ni mrembo akanionesha dalili za kunipenda na mm nikajisogeza kwake sasa penzi limepamba moto sana japo bibi hajui.
Anataka nimuoe kabisa.
Sasa ndugu zangu ningependa kujua kama nipo sahihi. Au kuna tatizo hapo.
Nawasilisha