Natofautiana na wenzangu kuhusu suala la Katiba Mpya

Sokomoko

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,915
127
Habari zenu wanaJF,

Napenda nitofautiane kidogo na wenzangu kuhusu hili suala la Katiba mpya. Kwangu mimi kipaumbele cha kwanza ni mishahara mikubwa na posho nono wanazopewa wabunge. Kama kweli wabunge wetu ni wazalendo wangeanza na hili na kuhakikisha kabla ya bunge la bajeti 2011/2012 limefanikiwa na kinachobakia kwenye mishahara ikaenda kuongezewa kwa waalimu na wauguzi. Maana watu watakuwa busy kwa miaka mitano kudai katiba mpya huku watoto wetu wakipewa elimu mbovu na huduma mbaya za afya kwakuwa wauguzi na waalimu maslahi yao yamemezwa na waheshimiwa wabunge!

Halafu mwaka 2011 baada ya kikao cha bajeti waanze mchakato wa katiba mpya sambamba na kubadilisha katiba zao za vyama maana hata huko kwenye vyama katiba hazikidhi matakwa ya wengi. Sipendi kutolea mifano ila ipo mingi sana kwenye baadhi ya vyama vyetu kuna uditekta, kujuana na undugu.

Nawakilisha....
 
Habari zenu wanaJF,

Napenda nitofautiane kidogo na wenzangu kuhusu hili suala la Katiba mpya. Kwangu mimi kipaumbele cha kwanza ni mishahara mikubwa na posho nono wanazopewa wabunge. Kama kweli wabunge wetu ni wazalendo wangeanza na hili na kuhakikisha kabla ya bunge la bajeti 2011/2012 limefanikiwa na kinachobakia kwenye mishahara ikaenda kuongezewa kwa waalimu na wauguzi. Maana watu watakuwa busy kwa miaka mitano kudai katiba mpya huku watoto wetu wakipewa elimu mbovu na huduma mbaya za afya kwakuwa wauguzi na waalimu maslahi yao yamemezwa na waheshimiwa wabunge!

Halafu mwaka 2011 baada ya kikao cha bajeti waanze mchakato wa katiba mpya sambamba na kubadilisha katiba zao za vyama maana hata huko kwenye vyama katiba hazikidhi matakwa ya wengi. Sipendi kutolea mifano ila ipo mingi sana kwenye baadhi ya vyama vyetu kuna uditekta, kujuana na undugu.

Nawakilisha....
Kwenye red, hii ipo kwenye katiba za hivyo vyama?
Akili yako huwa siielewi kabisa! kama vile unatope na sio ubongo!
 
Watu wengine sijui huwa wanawaza kitu gani! Katiba kwako si muhimu zaidi punguzo la mishahara......!
 
Habari zenu wanaJF,

Napenda nitofautiane kidogo na wenzangu kuhusu hili suala la Katiba mpya. Kwangu mimi kipaumbele cha kwanza ni mishahara mikubwa na posho nono wanazopewa wabunge. Kama kweli wabunge wetu ni wazalendo wangeanza na hili na kuhakikisha kabla ya bunge la bajeti 2011/2012 limefanikiwa na kinachobakia kwenye mishahara ikaenda kuongezewa kwa waalimu na wauguzi. Maana watu watakuwa busy kwa miaka mitano kudai katiba mpya huku watoto wetu wakipewa elimu mbovu na huduma mbaya za afya kwakuwa wauguzi na waalimu maslahi yao yamemezwa na waheshimiwa wabunge!

Halafu mwaka 2011 baada ya kikao cha bajeti waanze mchakato wa katiba mpya sambamba na kubadilisha katiba zao za vyama maana hata huko kwenye vyama katiba hazikidhi matakwa ya wengi. Sipendi kutolea mifano ila ipo mingi sana kwenye baadhi ya vyama vyetu kuna uditekta, kujuana na undugu.

Nawakilisha....

Once agin, Hila zako za Kishetani hazitafanikiwa, Tunakupotozea
 
Watu wengine sijui huwa wanawaza kitu gani! Katiba kwako si muhimu zaidi punguzo la mishahara......!

Sijasema kuwa Katiba sio Muhimu..... ila kwa mtazamo wangu suala la mishahara ya waheshimiwa linabidi lijadiliwe kwanza au ikiwezekana sambamba la kudai katiba sio kuwekwa kiporo. Nadhani umenifahamu.
 
Sijasema kuwa Katiba sio Muhimu..... ila kwa mtazamo wangu suala la mishahara ya waheshimiwa linabidi lijadiliwe kwanza au ikiwezekana sambamba la kudai katiba sio kuwekwa kiporo. Nadhani umenifahamu.

Mkuu bila shaka umeamka na hang over! KATIBA mbele kama tai ndugu yangu.
 
Habari zenu wanaJF,

Napenda nitofautiane kidogo na wenzangu kuhusu hili suala la Katiba mpya. Kwangu mimi kipaumbele cha kwanza ni mishahara mikubwa na posho nono wanazopewa wabunge. Kama kweli wabunge wetu ni wazalendo wangeanza na hili na kuhakikisha kabla ya bunge la bajeti 2011/2012 limefanikiwa na kinachobakia kwenye mishahara ikaenda kuongezewa kwa waalimu na wauguzi. Maana watu watakuwa busy kwa miaka mitano kudai katiba mpya huku watoto wetu wakipewa elimu mbovu na huduma mbaya za afya kwakuwa wauguzi na waalimu maslahi yao yamemezwa na waheshimiwa wabunge!

Halafu mwaka 2011 baada ya kikao cha bajeti waanze mchakato wa katiba mpya sambamba na kubadilisha katiba zao za vyama maana hata huko kwenye vyama katiba hazikidhi matakwa ya wengi. Sipendi kutolea mifano ila ipo mingi sana kwenye baadhi ya vyama vyetu kuna uditekta, kujuana na undugu.

Nawakilisha....

mawazo mazuri ila washabiki wameyakataa, tungojee pongezi kutoka kwa wachambuzi wa mambo ndugu yangu
 
Mkuu bila shaka umeamka na hang over! KATIBA mbele kama tai ndugu yangu.

Sawa lakini next iwe suala la posho za waheshimiwa pamoja na mawaziri unless mnakubaliana na expenses kubwa kupindukia kwa kujilinganisha na nchi matajiri wakati sie ni nchi masikini.....
 
Nakubaliana na wewe lakini msingi wa mamboyote haya unatakiwa uanzie kwenye katiba...kwani katiba ikishakaa sawa na ikaweza kuwabana wanaojilimbikizia mali ikiwemo kijilipa mishahara mikubwa na kugawana vya watanzania basi tunakua tumemaliza...Katiba tuliyo nayo ni ya zamani sana...wakati wa chama kimoja na misingi yake iliangalia upande huo mmoja...sheria zetu ziko kwa kiingereza...tume ikishamtangaza mshindi wa Urais basi hata maakama hainanguvu ya kuhoji...kwa kifupi tume inapewa mamlaka ya kikatiba kututeulia Rais kwa kipindi cha miaka mitano..na tume hiyo inateuliwa na huyo huyo Rais..JAMANI...Hata hili linahitaji AKILI???Tuamke Watanzania, Tuifanye nchi yetu mahali bora kwa Wajukuu zetu.
 
Sawa lakini next iwe suala la posho za waheshimiwa pamoja na mawaziri unless mnakubaliana na expenses kubwa kupindukia kwa kujilinganisha na nchi matajiri wakati sie ni nchi masikini.....

Huwa unaniacha hoi sana na fikra zako! Hujui kubana matumizi si sera ya CCM! KATIBA ikiwa inamnyima raisi nafasi ya kutengeneza baraza kubwa la Mawaziri, na kuwa na wabunge wengi hasa wa VITU maalumu bila shaka gharama za uendeshaji zitapungua
 
Mkuu unataka kusema hata Dr wa kweli ana hila za kishetani maana alipokuwa mjengoni alilisema sana hili jambo labda kumbukumbu zangu ziwe hazifanyi kazi vizuri.

Unajua mtu Ukisoma vilaza unawapeleka unavyotaka, nimeandika hivyo ili ukiseme kile hasa ulichokuwa unataka kukisema na kweli umeingia Mkenge kama Kenge aliyetishiwa maisha nchi kavu anavyoyakimbilia maji. Sasa kama Lengo lako lilikuwa ni Kumtaja Dr. wa Ukweli kwa nini umezunguka hivyo? Ndio maana nikasema Hila zako za Kishetwani tumezishtukia
 
hebu tumia akili japo kidogo,mabadiliko ya katiba ni kitu muhimu kuliko unavyofikiria especialy kwa tanzania ya leo,

hivi umeipitia katiba japo vipengele kumi tu? kama ungekua umeipitia sidhani kama ungeandika hiyo post isiyo na kichwa wala miguu
 
Unajua mtu Ukisoma vilaza unawapeleka unavyotaka, nimeandika hivyo ili ukiseme kile hasa ulichokuwa unataka kukisema na kweli umeingia Mkenge kama Kenge aliyetishiwa maisha nchi kavu anavyoyakimbilia maji. Sasa kama Lengo lako lilikuwa ni Kumtaja Dr. wa Ukweli kwa nini umezunguka hivyo? Ndio maana nikasema Hila zako za Kishetwani tumezishtukia

Siwezi kubishana na wewe mjadala upo wazi na hulazimishwi kuchangia ukiona thread yangu we kula kona!
 
Habari zenu wanaJF,

Napenda nitofautiane kidogo na wenzangu kuhusu hili suala la Katiba mpya. Kwangu mimi kipaumbele cha kwanza ni mishahara mikubwa na posho nono wanazopewa wabunge. Kama kweli wabunge wetu ni wazalendo wangeanza na hili na kuhakikisha kabla ya bunge la bajeti 2011/2012 limefanikiwa na kinachobakia kwenye mishahara ikaenda kuongezewa kwa waalimu na wauguzi. Maana watu watakuwa busy kwa miaka mitano kudai katiba mpya huku watoto wetu wakipewa elimu mbovu na huduma mbaya za afya kwakuwa wauguzi na waalimu maslahi yao yamemezwa na waheshimiwa wabunge!

Halafu mwaka 2011 baada ya kikao cha bajeti waanze mchakato wa katiba mpya sambamba na kubadilisha katiba zao za vyama maana hata huko kwenye vyama katiba hazikidhi matakwa ya wengi. Sipendi kutolea mifano ila ipo mingi sana kwenye baadhi ya vyama vyetu kuna uditekta, kujuana na undugu.

Nawakilisha....


Katiba kwanza. Kwa nini?...katiba ita-ainisha kila kitu ikiwemo miongozo ya mishahara. Nani apate ngapi, kwa nini na lini. Itaweka vigezo vya kiutu kuhusu masuala ya kupandisha mishahara n.k Itaweka pia wazi kwa wote nani anapata nini na kwa nini. Kwa sasa kila kitu ni siri mbona nchi nyingine mishahra ya viongozi ipo mtandaoni bana?
 
Sijasema kuwa Katiba sio Muhimu..... ila kwa mtazamo wangu suala la mishahara ya waheshimiwa linabidi lijadiliwe kwanza au ikiwezekana sambamba la kudai katiba sio kuwekwa kiporo. Nadhani umenifahamu.

KWA NINI USIWE WAZI? KUNA KITU UNAFICHA FICHA, HUMU WANA JF WANASEMA WAZI. CDM WALIPUZINDUA KAMPENI WALIELEZA WAZI KUWA SUALA LAO LA KWANZA NI KUDAI KATIBA, BILA KATIBA KILA KITU HAKIENDI. MISHAHARA NA MARUPURUPU VYOTE VINATOKANA NA KATIBA MBOVU. KATIBA MAKINI ITAONDOA HAYO YOTE. ANGALIA VIDEO

 
Last edited by a moderator:
Nakuunga mkono mwana wasu...........tuanze na mishahara then katiba kama tunataka mabadiliko ya kweli
 
Back
Top Bottom