Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
- Rev Masanilo,
- genekai
- ,Mian
- Ferds na
- Dr Ndege ya uchumi :
Ili watanzania wajue mapungufu ya katiba yanasababisha kero nyingi sana pamoja na kuwaacha wananchi wakihangaika wenyewe wanakosa pa kukimbilia na wanakosa mtetezi,na huyo mtetezi akijirundikia mishahara minono bila kuangalia wanaolala kwenye mbavu za mbwa tutakuwa tunawakashifu watu bila sababu wakatin tunajua hawajui NI MAANA YA KATIBA.
nfano ni SOKOMOKO ambaye hajui sababu ya kupanda kwa mishahara ya wakubwa wakati walio wengi wanaambulia vihela vya chai ya asubuhi tuu sh 150,000/= kwa mwezi.
ENYI WATU WENYE ELIMU YA DARASANI KILA MTU KWA WAKATI WAKE ATAMBUE WAJIBU WAKE WA KUMUELIMISHA MWENZAKE ELIMU YA URAIA NA KATIBA.