BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Sina uhakika sensa ya kuhesabu watu hapa kwetu Tanzania ni lini tena. Ila napenda nitoe ushauri wangu wakati ikifika watumie utaratibu ufuatao ambao utatumia muda mfupi na pesa kidogo. Mtanisamehe wana JF kama nitakuwa natoa iliterate ideas lakini pia muelewe mimi sina taaluma ya takwimu.
Ikifikaga wakati wa sensa naonaga watumishi wa serikali wako busy sana na pia watu wengi wanakuwa involved lakini pia sina uhakika na accuracy ya sensa yenyewe. Sasa hivi kila mtu anatamka vyake kuhusiana na idadi ya watu Tanzania. Utasikia huyu milioni 42, 40, 36 na kadha wa kadha.
MAWAZO:
Hivi kila balazo wa nyumba kumi akiambiwa apeleke idadi ya watu wake na particulars nyingine kwa Afisa Mtendaji wa kata (WEO) Sidhani hata kama huyu balozi atahitaji kugonga hodi kwa kila mkazi kwani anajuwa nyumba zake zote zina watu wangapi, majina, idadi ya watoto na details nyingine zote. Na baada ya hapo WEO apeleke report yake kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ili ziwe compiled na kutumwa takwimu.
Mimi kwa njia hii naona sensa ingetumia wiki moja, kwa gharama ndogo sana tofauti na sasa hivi sensa huwa inatumia gharama kubwa sana za posho za watumishi, magari na mengineyo.
Karibuni great thinkers
Ikifikaga wakati wa sensa naonaga watumishi wa serikali wako busy sana na pia watu wengi wanakuwa involved lakini pia sina uhakika na accuracy ya sensa yenyewe. Sasa hivi kila mtu anatamka vyake kuhusiana na idadi ya watu Tanzania. Utasikia huyu milioni 42, 40, 36 na kadha wa kadha.
MAWAZO:
Hivi kila balazo wa nyumba kumi akiambiwa apeleke idadi ya watu wake na particulars nyingine kwa Afisa Mtendaji wa kata (WEO) Sidhani hata kama huyu balozi atahitaji kugonga hodi kwa kila mkazi kwani anajuwa nyumba zake zote zina watu wangapi, majina, idadi ya watoto na details nyingine zote. Na baada ya hapo WEO apeleke report yake kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ili ziwe compiled na kutumwa takwimu.
Mimi kwa njia hii naona sensa ingetumia wiki moja, kwa gharama ndogo sana tofauti na sasa hivi sensa huwa inatumia gharama kubwa sana za posho za watumishi, magari na mengineyo.
Karibuni great thinkers