Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Natoa pongezi kwa jinsi ambavyo mh rais anapajenga chato. Mimi nlikuwa natoa ushauri pangepewa hadhi ya jiji. Na pia waongeze barabara ziwe nne nne na fly overs ziwepo.
Chato panapaswa kuwe jiji la mfano afrika. Zile nyumba ambzo zilijengwa pasipo mpangilio zibomolewe. Zijengwe nyumba kwa mipango mizuri.
Kama itawezekana pia ichimbwe sehemu kama ngorongoro crater kuwepo na vivutio zaidi vya utalii.kutengenezwe beaches nzuri na bitches wengi pia wawepo kwa ajili ya utalii wa ndani
Pajengwe kila kitu cha kimataifa. Uwanja wa mpira wa kimataifa, uwanja wa ndege wa Kimataifa, Soko la Kimataifa, Uwanja wa Golf wa Kimataifa, Uwanja wa Basket Ball wa Kimataifa, na kila kitu cha Kimataifa.
Mh Rais hakikisha tunapata jiji la kipekee africa ambalo litakuwa mfano wa kuigwa. Kama inawezekana hata kujenga pyramids kubwa kuliko za misri hata mbili au moja itakuwa vyema. Na pia kujengwe mlima mrefu sana duniani.
Haya yote yanawezekana sababu tuna rasilimali watu ya kutosha na pia pesa zipo. Na je hatuwezi pia wekeza madini kule chato?mfano tukapandikiza madini ya Gold au Diamond? Hata kuvumbua madini mapya tuyaite chatonite.
Mawaziri mbalimbali ni jukumu lenu pia kuwa wabunifu kulingana na wizara zenu nini mnawezs ifanyia chato?siyo mnabweteka tu.kibwangalah yeye anaomba Mungu apatakinane faru kama faru rajabu akawapande wanyama wote walioko huko wazae makumi na mamia. Na apewe ombi lake. Amen.
Chato panapaswa kuwe jiji la mfano afrika. Zile nyumba ambzo zilijengwa pasipo mpangilio zibomolewe. Zijengwe nyumba kwa mipango mizuri.
Kama itawezekana pia ichimbwe sehemu kama ngorongoro crater kuwepo na vivutio zaidi vya utalii.kutengenezwe beaches nzuri na bitches wengi pia wawepo kwa ajili ya utalii wa ndani
Pajengwe kila kitu cha kimataifa. Uwanja wa mpira wa kimataifa, uwanja wa ndege wa Kimataifa, Soko la Kimataifa, Uwanja wa Golf wa Kimataifa, Uwanja wa Basket Ball wa Kimataifa, na kila kitu cha Kimataifa.
Mh Rais hakikisha tunapata jiji la kipekee africa ambalo litakuwa mfano wa kuigwa. Kama inawezekana hata kujenga pyramids kubwa kuliko za misri hata mbili au moja itakuwa vyema. Na pia kujengwe mlima mrefu sana duniani.
Haya yote yanawezekana sababu tuna rasilimali watu ya kutosha na pia pesa zipo. Na je hatuwezi pia wekeza madini kule chato?mfano tukapandikiza madini ya Gold au Diamond? Hata kuvumbua madini mapya tuyaite chatonite.
Mawaziri mbalimbali ni jukumu lenu pia kuwa wabunifu kulingana na wizara zenu nini mnawezs ifanyia chato?siyo mnabweteka tu.kibwangalah yeye anaomba Mungu apatakinane faru kama faru rajabu akawapande wanyama wote walioko huko wazae makumi na mamia. Na apewe ombi lake. Amen.