Natoa suluhisho la usafiri kwa wakazi wa Gongo la Mboto

malela.nc

JF-Expert Member
Nov 24, 2013
246
336
Habari wadau,
Kwa wakazi wa Gongo la mboto na viunga vyake, wanaofanya kazi Posta, kutokana na usafiri wa umma kuwa na changamoto sana. Nahitaji watu wanne (4) ambao wanafanya kazi Posta niwe nawapeleka kazini asubuhi saa 06:30 na kuwarudisha nyumbani baada ya kazi saa 16:00. Nkipata wa ofisi moja itapendeza zaidi. Natangiliza shukrani zangu
NB: Mjuze na mwenzio asiteseke tena.

MENGINEYO.
1. Ada ni 5,000 kwa siku yaani ni kwenda na kurudi.
2. Gari itaondoka 06:30 asubuhi Gongo la Mboto hivyo muda uzingatiwe.
3. Malipo yatafanyika kwa week yaani 25,000/=
4. Jumamosi na Jumapili sitafanya kazi.
5. Gari nayotumia ni IST

MAWASILIANO.
0675 404145
 
Habari wadau,
Kwa wakazi wa Gongo la mboto na viunga vyake, wanaofanya kazi Posta, kutokana na usafiri wa umma kuwa na changamoto sana. Nahitaji watu wanne (4) ambao wanafanya kazi Posta niwe nawapeleka kazini asubuhi saa 06:30 na kuwarudisha nyumbani baada ya kazi saa 16:00. Nkipata wa ofisi moja itapendeza zaidi. Natangiliza shukrani zangu
NB: Mjuze na mwenzio asiteseke tena.

MENGINEYO.
1. Ada ni 5,000 kwa siku yaani ni kwenda na kurudi.
2. Gari itaondoka 06:30 asubuhi Gongo la Mboto hivyo muda uzingatiwe.
3. Malipo yatafanyika kwa week yaani 25,000/=
4. Jumamosi na Jumapili sitafanya kazi.
5. Gari nayotumia ni IST

MAWASILIANO.
0675 404145
Ila angalia kuna wale wanaojifanyaga ni abiria kumbe unapelekwa YARD.. Huko kuna fine za maana ... Maana hujasajiliwa kufanya hayo
 
Habari wadau,
Kwa wakazi wa Gongo la mboto na viunga vyake, wanaofanya kazi Posta, kutokana na usafiri wa umma kuwa na changamoto sana. Nahitaji watu wanne (4) ambao wanafanya kazi Posta niwe nawapeleka kazini asubuhi saa 06:30 na kuwarudisha nyumbani baada ya kazi saa 16:00. Nkipata wa ofisi moja itapendeza zaidi. Natangiliza shukrani zangu
NB: Mjuze na mwenzio asiteseke tena.

MENGINEYO.
1. Ada ni 5,000 kwa siku yaani ni kwenda na kurudi.
2. Gari itaondoka 06:30 asubuhi Gongo la Mboto hivyo muda uzingatiwe.
3. Malipo yatafanyika kwa week yaani 25,000/=
4. Jumamosi na Jumapili sitafanya kazi.
5. Gari nayotumia ni IST

MAWASILIANO.
0675 404145
Haaaaaa kuna kuingia mitini jaman
 
Ila angalia kuna wale wanaojifanyaga ni abiria kumbe unapelekwa YARD.. Huko kuna fine za maana ... Maana hujasajiliwa kufanya hayo
Ila angalia kuna wale wanaojifanyaga ni abiria kumbe unapelekwa YARD.. Huko kuna fine za maana ... Maana hujasajiliwa kufanya hayo
Gari imesajiliwa kufanya huduma hizo na ina vibali vyote kisheria.
 
Habari wadau,
Kwa wakazi wa Gongo la mboto na viunga vyake, wanaofanya kazi Posta, kutokana na usafiri wa umma kuwa na changamoto sana. Nahitaji watu wanne (4) ambao wanafanya kazi Posta niwe nawapeleka kazini asubuhi saa 06:30 na kuwarudisha nyumbani baada ya kazi saa 16:00. Nkipata wa ofisi moja itapendeza zaidi. Natangiliza shukrani zangu
NB: Mjuze na mwenzio asiteseke tena.

MENGINEYO.
1. Ada ni 5,000 kwa siku yaani ni kwenda na kurudi.
2. Gari itaondoka 06:30 asubuhi Gongo la Mboto hivyo muda uzingatiwe.
3. Malipo yatafanyika kwa week yaani 25,000/=
4. Jumamosi na Jumapili sitafanya kazi.
5. Gari nayotumia ni IST

MAWASILIANO.
0675 404145
sisi tupo kumi ofisi moja
 
Habari wadau,
Kwa wakazi wa Gongo la mboto na viunga vyake, wanaofanya kazi Posta, kutokana na usafiri wa umma kuwa na changamoto sana. Nahitaji watu wanne (4) ambao wanafanya kazi Posta niwe nawapeleka kazini asubuhi saa 06:30 na kuwarudisha nyumbani baada ya kazi saa 16:00. Nkipata wa ofisi moja itapendeza zaidi. Natangiliza shukrani zangu
NB: Mjuze na mwenzio asiteseke tena.

MENGINEYO.
1. Ada ni 5,000 kwa siku yaani ni kwenda na kurudi.
2. Gari itaondoka 06:30 asubuhi Gongo la Mboto hivyo muda uzingatiwe.
3. Malipo yatafanyika kwa week yaani 25,000/=
4. Jumamosi na Jumapili sitafanya kazi.
5. Gari nayotumia ni IST

MAWASILIANO.
0675 404145
utakuwa unawarudisha hadi makwao wote ama kuna kituo maalum utakuwa unawashushia na kuwapakilia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom