Uchaguzi 2020 Natoa onyo la mwisho kabisa kwa Tundu Lissu

Chato mmemchomea mgombea ubunge nyumba yake, Lissu mlimpiga risasi, leo anawachezesha singeli, arusha mlichoma ofisi ya chadema, mbeya, tunduma, singida mkaua kiongozi wa chadema, mmemteka ben saa nane, azory gwanda mkamuua, alphonce mawazo mkamfanya nyama buchani, mbowe mkamvamia mkampiga usiku wa manane, nawaambieni nyie kizazi cha ibili ipo siku yenu mtalia na kusaga meno! Nyongo yangu juu yenu tutawafundisha adabu tunasubiri muda ufike mgome kukabidhi nchi tutawala nyama
Yaani huna tofauti kabisa hawa wanyama wanao mwaga damu whether watakua chadema au ccm.
 
Wewe endelea kuwatawaza mavi hao ccm, Ni hiviiiiii, wananchi wanampenda Lissu usitupotezee muda. Huo ukweli ndio uliompa umashuhuri Hadi Sasa amekuwa hot cake
 
Lissu ni punguani, watanzania hatuwezi pigia kura hilo genge la wahuni. Imekula kwao kuanzia udiwani mpaka Urais. Magufuli, Rais bora kabisa.
 
Wewe endelea kuwatawaza mavi hao ccm, Ni hiviiiiii, wananchi wanampenda Lissu usitupotezee muda. Huo ukweli ndio uliompa umashuhuri Hadi Sasa amekuwa hot cake
Wewe na wapuuzi wenzako, ndio mwapenda hilo genge la wahuni. Mnapoteza muda kushabikia huyo kibaraka wa kina Amsterdam. Hataweza kuwa Rais, kajipangeni upya.
 
Lissu ni punguani, watanzania hatuwezi pigia kura hilo genge la wahuni. Imekula kwao kuanzia udiwani mpaka Urais. Magufuli, Rais bora kabisa.
Acha kabisa kutukana tujenge hoja kistaarabu. Tunaitaji mawazo na fikra huru kujenga taifa kubwa na Uhuru wa mawazo ndio hujenga fikra Pana nayenye tija
 
Wewe na wapuuzi wenzako, ndio mwapenda hilo genge la wahuni. Mnapoteza muda kushabikia huyo kibaraka wa kina Amsterdam. Hataweza kuwa Rais, kajipangeni upya.
Kwa ushahidi upi!? Lazma tutoe hoja za uhakika tuache haya maushabiki ya watu wajinga wajinga.
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Kama kupigwa risasi ni suala la kipuuzi wewe unaweza kukubali nikupige risasi?
 
Wapinzani watapinga na hili akili si wameshikiwa!

Tatizo lao kila wakiona mtu anawakandia huwa wanafikiri ni CCM Huwa hawajua kuna watu hawafungamani kokote na anaweza shauli. kikubwa si tu kupata kiongozi bali kiongozi Bora maana kiongozi atakaepita atatuongoza wote uwe mpinzani au sio.

Huyo jamaa akipata serikali kwa hizo sera zake jua kabisa ataenda kulipiza kisasi na sio kusaidia uchumi,elimu,afya n.k
Kwamba ccm walichuja kwelikweli na kumpata Magufuli Yani waliweza kuchagua Sana au sio
Hii inachekesha kidogo

Lisu hawezi kuwa na roho hiyo ya visasi akishinda urais tu Ni bonge la ubabe atakuwa amefanya Ni zaidi ya kulipa kisasi hiyo
Lakini hata Kama wakilipana visasi itagarimu nchi sh ngapi bado haitateteresha uongozi au uchumi wa nchi
 
sasa tatizo lipo wap si mradi umetekelezeka, ingekua haujakelezeka apo ingekua kesi ingine!
eti ruzuku mnatumia kugaramikia kesiz a cdm? si mkienda mahakamani mnaweka namba za kuchangia ata hizi kampeni si mmeweka namba za kuchangia ama? wanachama wenu hawatoi ela ama? ruzuku si kila mwezi? 300M+, na Bil 8 juu hazijulikan zpo wap! au unadhan hatujui kinachoendelea,

na kile kibanda chenu pale ufipa, pemben mmeweka mpesa kabisa mtu akichangia hapo hapo anaenda kununua konyagi kubwa

Ela ndiyo nini mburula wewe?!
 
Ktk nchi hizi za kiswahili wananchi walio wengi hawajui mambo ya sera ya vyama kwani wanaona kila siku ccm inavyotamba kuwa ina sera nzuri zinazotekelezeka lkn wanashangaa ndivyo wanavyozidi kuwa masikini kadri miaka inavyokwenda.

Vyama vimeshatoa ilani zao za uchaguzi sasa ni jukumu la anayependa kusoma.

Kwa kadri wananchi wanavyozidi kuwa masikini sio swala la mtu eti atangaze sana sera zake ndio uchaguliwe kwani wanaona hizo sera kama usanii tu wa vyama kutaka wawape kura kusudi watawale. Hamna cha ziada.
 
Nasikia mbwa koko wanabweka kutoka mafichoni.
Na bado,TL sio typu yako inzi wa kijani.Jpm mwenyewe anacheza mziki wa TL
 
Watu walitegemea makubwa katika ujio wa huyu muheshimiwa asiyeshaurika kabisa. Kama angejipanga vizuri kwa hoja nzuri, Tafiti na Kuzuia hasira alikuwa na nafasi ya kushinda kwenye UCHAGUZI lakini kumbe ni hopeless kabisa.

Hivi nani anayemuandalia hotuba Lissu. Huenda anatumika.

Leo namuonya Tundu lissu kwa mara ya mwisho.

1. Jenga hoja kupitia kero za watu, Maisha ya watu na sio matatizo binafsi au ya chama chako
huwezi hamasisha watu wakuonee huruma au wakipiganie chama Jenga hoja vizuri ili watu waamini wanajipigania wao na nyie mko mbele yao tu. Sijui Kama unaelewa kirahisi. Swala la ukosefu wa Ajira ata kwa sekta zenye uhitaji mkubwa Kama afya na elimu vijijini, kunawasomi wengi mtaani na huo utakuwa mtaji wenu. Jifanyeni mnapigania haki za wakulima juu ya masaibu mengi mno wanayopitia.

Ni mengi na ukiyasema kwa kuguswa kabisa na kuonesha kuumia na kusisitiza umoja unaitajika kuushinda unyonyaji. Kusisitiza na kuwapa matumaini hakuna mtanzania mnyonge tena. Utapata support kubwa kwao. Kutolipwa kwa wakati mazao ya biashara na funga mipaka inavyoathili Bei ya mazao ya chakula Kama mahindi na Michele na vitunguu. Wape matumaini Mapya wakulima. Usifumbe, usitumie lugha ngumu, usiulize maswali andaa speach nzuri tu.

Swala la kupigwa risasi na zilizoingia mwilini ni ya kipuuzi mno kwenye kipindi hiki cha UCHAGUZI na hazisaidii kuimalisha maisha ya watu.

Watanzania tuna roho ngumuu, wewe Jenga hoja za huruma tu utapona Oct 28. Hawa watanzania ukiangusha shilingi elfu Kumi mbele ya watu ishirini akina wa kukushitua ata moja wanakuacha unaenda wanagawana miatano miatano. Wakishika mwizi wanaua, tajiri akikamatwa na polisi ata Kama hanakosa wanashangilia. Huwajui watu.

Ombeni Kura kwa kuonesha dira na matumaini Mapya na sio kulialia tu jukwaani. Nazani hujui tu binadamu ni wabinafsi. Watu wanashida zao wewe unakuja kuwaeleza shida zako ili iweje.

Jenga hoja askali mliwaweka ili kuwapigania wamekatwa. Msikubali kukosa fursa ya kusaka haki yenu ya kuchagua.

Ongelea masaibu waliyopitia wakosoaji wote waliotaka kuweka Mambo sawa wako wengi mno kama Akina Kakobe, Msisahau Gwajima, Lowasa, Viongozi wa dini na nyaraka zao, wasanii, hadi wabunge wa CCM kusini, walipojaribu kupambana bungeni juu ya fedha zao za pembejeo za korosho na Hadi Waziri mkuu alivyokoswakoswa na kuonywa. Baada ya yote hayo wote wameunga mkono juhudi mliobaki kuwasemea na kupigania haki NI yeye. Japokuwa umepitia uliyopitia. Sasa hapo wapitishe kidogo Kama dk 3 tu uliyopitia lkn hujarudi nyuma na kuwatia ujasiri kwenda pamoja. Ukweli Lissu hujui kujenga hoja za kisiasa labda za kisheria

2. Huu sio wakati wa kusema sema au kufanya vitu hovyo na kila kitu kulazimisha Sheria
Wasomi au watu wenye Akili kubwa mnashida Sana. Ongelea hoja zenye nguvu tu, zitakazoeleweka na wajinga kirahisi na hoja ngumu kueleweka au ngumu kuaminika au nyepesi kupotosheka ata kama ni ya ukweli na inamsaada mkubwa iache kabisa.

Sikuelewa kusudio la pingamizi lako. Ukiamini Raisi atakatwa na time au unataka kutuambia Lina msaada gani kwa watu. Kama unashida na Raisi huu NI wakati wa kumshitaki kupitia hoja thabiti kwa wananchi na sio Kiki za magazeti.

Wanahabari wanakosa headline inayoendana na dira na mwelekeo wako ukiwa Rais. CCM inajua siasa bwana inawachokonoa mnapandwa hasira mnaacha hoja za muda wote mnaanza kujisemea. Mna miezi miwili hubiri risasi zako tu uone ata asilimia 20 Utapata.

3. Usiunde na ondoa uadui na kila mtu. Wape ahadi na nzuri Viongozi wengi wa serikali
Mawaziri, tumia Akili kubwa. Ukishindwa kuwashawishi wafanyakazi wa imma na wa juu hutoboi. Hao ndio wasimamizi na walinzi. Askari, wanajeshi,, na wengine.

NI wakati wa kuonesha upendo na ahadi nzuri asa uhakika wa Ajira au malipo mazuri kwa Viongozi wa juu wasiopenda kutishwa. Wakurugenzi, wafanyakazi wa tume na wengine wengi.

Omba Kura za CCM pia. Hata NDANI ya CCM lazima Kuna makwazo wanahidi umoja wa kitaifa.
Una degedege wewe sio bure!
 
Back
Top Bottom