Brown73
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,100
- 682
Yaani huna tofauti kabisa hawa wanyama wanao mwaga damu whether watakua chadema au ccm.Chato mmemchomea mgombea ubunge nyumba yake, Lissu mlimpiga risasi, leo anawachezesha singeli, arusha mlichoma ofisi ya chadema, mbeya, tunduma, singida mkaua kiongozi wa chadema, mmemteka ben saa nane, azory gwanda mkamuua, alphonce mawazo mkamfanya nyama buchani, mbowe mkamvamia mkampiga usiku wa manane, nawaambieni nyie kizazi cha ibili ipo siku yenu mtalia na kusaga meno! Nyongo yangu juu yenu tutawafundisha adabu tunasubiri muda ufike mgome kukabidhi nchi tutawala nyama